Hii ni njia nyingine nzuri ya uokoaji kariakoo, kwa wale wahanga wanaopiga simu.

Hii ni njia nyingine nzuri ya uokoaji kariakoo, kwa wale wahanga wanaopiga simu.

Mods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi.

Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao. Tumieni simu au computer zenu kuingia kwenye web ya FIND MY DEVICE ya google kisha ingiza email na password ya mhanga utaona location mahali alipo kisha utafanya uokoaji. Mimi nipo mkoa wa mbali ila naamini kupitia thread hii nitasaidia wengi. Amen.
GPS haifanyi kazi accurately ukifunikwa na kifusi, unahitaji simu iwe na clear view of sky ili upate accurate location.
 
Jw
Mods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi.

Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao. Tumieni simu au computer zenu kuingia kwenye web ya FIND MY DEVICE ya google kisha ingiza email na password ya mhanga utaona location mahali alipo kisha utafanya uokoaji. Mimi nipo mkoa wa mbali ila naamini kupitia thread hii nitasaidia wengi. Amen.
Je kama majeruhi Hana bando ama anatumia kiswasawadu
 
Mods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi.

Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao. Tumieni simu au computer zenu kuingia kwenye web ya FIND MY DEVICE ya google kisha ingiza email na password ya mhanga utaona location mahali alipo kisha utafanya uokoaji. Mimi nipo mkoa wa mbali ila naamini kupitia thread hii nitasaidia wengi. Amen.
Aisee jamaa wewe unachekesha sana. Naona hujui hata location kwenye simu zina maana gani. Kwa kifupi ujuzi wako wa haya mambo ni sifuri. Nikuambie tu location kwenye simu haikupeleki exactly mpaka pale mtu alipokaa na pia tatizo lililopo siyo kwamba hawajui location yao bali ni kifusi kilichowafunika.
 
Mbeba mizigo mmoja kaokoa watu 5 kwa mbinu za kimtaani kabisa ila mainjinia wasomi na madigrii yao wanashindwa cha kufanya wanashangaa shangaa tu na matumbo yao,wewe nawe na IT yako ya Data Star training collage Mwananyamala unakuja na idea ya kipuuzi kabisa bila kuchanganua kwamba tatizo sio hatujui location shida ni jinsi ya kifika walipo.Msukuma na Dotto Magari wakiwadharau wasomi mnakasirika shwaini kabisa.
Tuheshimiane mkuu
Nani kasema nimesoma Data Star training collage Mwananyamala

Mkuu mi sipendi dharau jua hilo 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
 
Mbeba mizigo mmoja kaokoa watu 5 kwa mbinu za kimtaani kabisa ila mainjinia wasomi na madigrii yao wanashindwa cha kufanya wanashangaa shangaa tu na matumbo yao,wewe nawe na IT yako ya Data Star training collage Mwananyamala unakuja na idea ya kipuuzi kabisa bila kuchanganua kwamba tatizo sio hatujui location shida ni jinsi ya kifika walipo.Msukuma na Dotto Magari wakiwadharau wasomi mnakasirika shwaini kabisa.
Unakosea kusema ni msomi. Huoni kuwa maoni aliyotoa yanaonyesha kabisa kuwa jamaa hana idea yoyote na mambo ya location kwenye simu na pia hajui kabisa ni nini kinachofanya wasifikiwe haraka? na zaidi amewahi kuanzisha thread bila kujiuliza mara mbili ili aonekane ni bonge la mtaalam?
 
Mbeba mizigo mmoja kaokoa watu 5 kwa mbinu za kimtaani kabisa ila mainjinia wasomi na madigrii yao wanashindwa cha kufanya wanashangaa shangaa tu na matumbo yao,wewe nawe na IT yako ya Data Star training collage Mwananyamala unakuja na idea ya kipuuzi kabisa bila kuchanganua kwamba tatizo sio hatujui location shida ni jinsi ya kifika walipo.Msukuma na Dotto Magari wakiwadharau wasomi mnakasirika shwaini kabisa.
Huwezi kupinga wazo la mtu mpuuzi mmoja wewe, unataka wote twende tukainue vifusi kama wendawazimu bila kuwa na mpango mkakati...?

Unadiriki kusema hakuna msaada wowote wa kitaalamu uliotolewa au wote tuwe makuli mbwa mmoja wewe
 
serikali yetu inaouwezo wa kununua v8 kila bajeti ya mwaka, na inaouwezo wa kununua magari ya kuzuia chadema kuandamana ila haina uwezo wa kununua vifaa vya uokozi kwa ajili ya maafa...so sad!!
 
FIka eneo la tukio toa mawazo yako hakuna atakayekupuuza kama yatakua na msaada na utaonekana mtu wa maana kabisa yakifanikiwa
Mimi sio mwana ccm nchi yetu ili usikilizwe au uwe na akili lazima uwe mwana ccm kwanza kwa hyo mpaka hapo nishafeli.
 
serikali yetu inaouwezo wa kununua v8 kila bajeti ya mwaka, na inaouwezo wa kununua magari ya kuzuia chadema kuandamana ila haina uwezo wa kununua vifaa vya uokozi kwa ajili ya maafa...so sad!!
kama kifaa gani?
 
Da mwamba umetisha,wanakupinga ila umewaza mbali japo shida sio kujua walipo bali jinsi ya kuwafikia
Ametisha nini hapa yaan mtu hewa ni ndogo huko chini unakuja na mawazo yako ya ajabu unafikiri location itasoma wapi hapo na jengo lenyew ndio hilo sio muda tutakuunganisha na Akina na hawa viongozi wetu.
 
Aisee jamaa wewe unachekesha sana. Naona hujui hata location kwenye simu zina maana gani. Kwa kifupi ujuzi wako wa haya mambo ni sifuri. Nikuambie tu location kwenye simu haikupeleki exactly mpaka pale mtu alipokaa na pia tatizo lililopo siyo kwamba hawajui location yao bali ni kifusi kilichowafunika.
huyu ni mmjawapo ya walioanza kutumia simu hivi karibuni nyuma ya Keybord anaonekana wa maana sanaa
 
Mods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi.

Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao.

Tumieni simu au computer zenu kuingia kwenye web ya FIND MY DEVICE ya google kisha ingiza email na password ya mhanga utaona location mahali alipo kisha utafanya uokoaji. Mimi nipo mkoa wa mbali ila naamini kupitia thread hii nitasaidia wengi. Amen.
Asante kwa ushauri mkuu. Naamini timu ya uokoaji ya Chalamila itaufanyia kazi kuwaokoa ndugu zetu walionasa chini ya jengo.
 
Back
Top Bottom