Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ni chai isiyo na shuga hii 😁Mbona kama chai hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni chai isiyo na shuga hii 😁Mbona kama chai hii
Au anaishi Banda la uani la bure🤣🤣Tafuta nyumba nyingine uhamie huko, hata kama unapanga bure hama tu.
🤣🤣🤣 ila weweKimbia hapo ndugu,
Next time utashangaa kikojoleo huna na bibi yako anatoa miguno ya raha huko kwake ...
Kodi anayo Sasa?😂😂Hama nyumba dar zipo kibao Kwa Nini uishi Kwa stress
Afu anabisha eti siyo chai ni mihogo😀😀Ni chai isiyo na shuga hii 😁
Estoy locamente enamorado de ti😍🤣🤣🤣 ila wewe
Upo sahihi, wachawi wanaiba uwezo au nguvu ya mtu kufanya jambo ...hakuna uchawi wa hivo, wa kuchukua vitu kwenye friji
Kurudi kwenu Kamagombe unasubiri nini na bibi Mandela wako?Ngoja wakumenye ngozi ndiyo utajua ni ebitoke au bishontongo!Niko Mwananyamala A hapa, pa kigagula mmoja aitwa Bi Mandela (hili ni jina kificho, sio halisi) . Jamani najuta kuishi katika nyumba hii..
Kuna vimbwanga vingi vinatendeka, wakati mwingine waamka alfajiri nyumba nzima imetapakaa kinyesi, ñya mbichi kabisa.
Leo nimeenda sokoni, nimenunua bata wangu, wameniandalia huko, hadi kumkata kata.
Nimekuja naye home, nikampiga viungo, paprika, oregano, tangawizi, garlics, hajinamoto, honey, na mazaga mengine kama yote. Nikatia kwenye friji ili akae kwa muda wa saa moja na nusu viungo vikolee.
Huko nje nasikia mapishi yananukia, nikajiuliza kinapikwa nini? Machale yakanituma niende kwenye friji, ile nimezama ndani ya friji nakuta kontena niliyowekea mzigo nyeupeeeeeeeeeeee kama theluji.
Nimekubali matokeo.
NB:-
Bibi Mandela is just a code name , nimempa mimi kutokana na sababu zangu binafsi, hamna aliyekuwa offended hapa.
en realidad🤭?Estoy locamente enamorado de ti😍
Yeah,hadi nahisi dhambi mama..nikaconfess kwa madhabahu? Or it's okay?en realidad🤭?
I’m here😋Yeah,hadi nahisi dhambi mama..nikaconfess kwa madhabahu? Or it's okay?
jifanye uchizi umekupanda,,toka nje uchi huku umeshika panga{mvizie akiwa peke yake ili akose ushahidi},mfuate kwa kasi huku ukipiga kelele"wewe mchawi wewe,leo nakuuwa,alaf ukifika karibu yake piga panga kittu chochote kilicho karibu yake kama ni mti au mlango,alaf jifanye umeanguka,,then act kama umeumia ilia apate nafasi ya kukimbia,akishaondoka rudi ndani kwako,,,,vaa chap,alaf potea eneo la tukio,hakikisha umeshampanga bodaboda anakusubiri eneo la jirani,,,,then pia jiandae kwa kuwaweka sawa wa2 wenzako wa kazini au sehem yoyote unayojitafutia riziki kwamba kuna ki2 utaect hapo home,ili huyo bibi akishtaki mashahidi wako waseme ulikuwa kazini,,,,au mwage unasafiri,,,alaf chukua gest jirani na hapo home,,,na tafuta tiketi ya basi la mkoani,,then fanya kama nivokwambia,,,akikushtaki seme wewe ulikuwa safari na onyesha tiketi,,,,utakuja kunipa K-VANT!!Kurudi kwenu Kamagombe unasubiri nini na bibi Mandela wako?Ngoja wakumenye ngozi ndiyo utajua ni ebitoke au bishontongo!
Disfratur🥂....... !!.....
I'm in heaven already...😋