Hii ni nyumba ya wachawi ninayoishi. Wachawi wanapika chakula changu

Hii ni nyumba ya wachawi ninayoishi. Wachawi wanapika chakula changu

Yaani mjomba unamnyoohsea mikono mchawi?
Are you serious kweli??
 
Ni chai isiyo na shuga hii 😁
Huwa nina ugonjwa wa kutafuta taarifa, hivi hii nyumba ndiyo ileile au?

 
Niko Mwananyamala A hapa, pa kigagula mmoja aitwa Bi Mandela (hili ni jina kificho, sio halisi) . Jamani najuta kuishi katika nyumba hii..

Kuna vimbwanga vingi vinatendeka, wakati mwingine waamka alfajiri nyumba nzima imetapakaa kinyesi, ñya mbichi kabisa.

Leo nimeenda sokoni, nimenunua bata wangu, wameniandalia huko, hadi kumkata kata.

Nimekuja naye home, nikampiga viungo, paprika, oregano, tangawizi, garlics, hajinamoto, honey, na mazaga mengine kama yote. Nikatia kwenye friji ili akae kwa muda wa saa moja na nusu viungo vikolee.

Huko nje nasikia mapishi yananukia, nikajiuliza kinapikwa nini? Machale yakanituma niende kwenye friji, ile nimezama ndani ya friji nakuta kontena niliyowekea mzigo nyeupeeeeeeeeeeee kama theluji.

Nimekubali matokeo.

NB:-
Bibi Mandela is just a code name , nimempa mimi kutokana na sababu zangu binafsi, hamna aliyekuwa offended hapa.

Wewe ni Ke ama Me? Tafadhari.
 
Kurudi kwenu Kamagombe unasubiri nini na bibi Mandela wako?Ngoja wakumenye ngozi ndiyo utajua ni ebitoke au bishontongo!
jifanye uchizi umekupanda,,toka nje uchi huku umeshika panga{mvizie akiwa peke yake ili akose ushahidi},mfuate kwa kasi huku ukipiga kelele"wewe mchawi wewe,leo nakuuwa,alaf ukifika karibu yake piga panga kittu chochote kilicho karibu yake kama ni mti au mlango,alaf jifanye umeanguka,,then act kama umeumia ilia apate nafasi ya kukimbia,akishaondoka rudi ndani kwako,,,,vaa chap,alaf potea eneo la tukio,hakikisha umeshampanga bodaboda anakusubiri eneo la jirani,,,,then pia jiandae kwa kuwaweka sawa wa2 wenzako wa kazini au sehem yoyote unayojitafutia riziki kwamba kuna ki2 utaect hapo home,ili huyo bibi akishtaki mashahidi wako waseme ulikuwa kazini,,,,au mwage unasafiri,,,alaf chukua gest jirani na hapo home,,,na tafuta tiketi ya basi la mkoani,,then fanya kama nivokwambia,,,akikushtaki seme wewe ulikuwa safari na onyesha tiketi,,,,utakuja kunipa
 
Back
Top Bottom