hahaha miozo tu hii michadema vichwa nazi, tupa kuleMkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikiria Maisha yetu', weka 'Wameshikiria Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
Halafu bado unategemea dawa na magari yaoMkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikiria Maisha yetu', weka 'Wameshikiria Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
Kabla ya insta, whatsap na facebook hakukuwa na maisha, nyie vijana wa kizazi cha dot.com hamjielewi kabisa.....Angalia jana insta, whatsap na facebook ilivyopotea na watu tukapoteana kabisa. Tusijaribu kuwaita mabeberu mana wameshikilia maisha yetu na imawezekana walifanya hivyo ili waone how do we value them.
Hata case ya mbowe wakiamua kumwambia samia amtoe gerezani fasta anamtoa vinginevyo wanamute internate na social media nchi inakuwa null and void.
Wameshikiria=wameshikiliaMkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikiria Maisha yetu', weka 'Wameshikiria Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
Angalia jana insta, whatsap na facebook ilivyopotea na watu tukapoteana kabisa. Tusijaribu kuwaita mabeberu mana wameshikilia maisha yetu na imawezekana walifanya hivyo ili waone how do we value them.
Hata case ya mbowe wakiamua kumwambia samia amtoe gerezani fasta anamtoa vinginevyo wanamute internate na social media nchi inakuwa null and void.
Mkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikiria Maisha yetu', weka 'Wameshikiria Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
... na huyo ni tajiri mmoja tu ndani ya Marekani; sijui utajiri wa Marekani kama nchi ukoje!Halafu bado tuna ubavu wankusema mabeberu wanatuonea wivu, hii nchi ngumu sana
... hapana Mkuu; tiktok ni wajamaa wenzetu; marafiki zetu wa damu China!Hata tiktok ni mabeberu wale wale. Hivi africa tunajivunia nini zaidi ya maelfu ya manabii na mitume wa kutishana tu ujihisi kuwa unakufa siku hiyohiyo
Maisha yalikuwa magumu na ilikuwa kugongana kwa kwend mbele bila conections kama siku hiziKabla ya insta, whatsap na facebook hakukuwa na maisha, nyie vijana wa kizazi cha dot.com hamjielewi kabisa.....
Upo sawa...wengine tulipofika chuo ndo kompyuta zikawa zimeingia, ikaja internet, google, simu za mkononi siemens C35 kipindi hicho vijana mliopo chuo hamjazaliwa au bado mnanyonya maziwa kwa mama.....Maisha yalikuwa magumu na ilikuwa kugongana kwa kwend mbele bila conections kama siku hizi
Unajua mtu akisha pewa cheo cha Gaidi, America inamchukulia hivyo hata kesi akiishinda! Mbele ya macho yao Mbowe ni Gaidi kama magaidi waliopo Guantanamo! Hasa ukiunganisha na magaidi waliopo kusini mwa nchi yetu, Mbowe anakuwa Gaidi la kutisha wamarekani - hapo hawamchekei mtu! Unajua tena walisha umwa na nyoka, hata Jani lina watisha!Angalia jana insta, whatsap na facebook ilivyopotea na watu tukapoteana kabisa. Tusijaribu kuwaita mabeberu mana wameshikilia maisha yetu na imawezekana walifanya hivyo ili waone how do we value them.
Hata case ya mbowe wakiamua kumwambia samia amtoe gerezani fasta anamtoa vinginevyo wanamute internate na social media nchi inakuwa null and void.
Na wewe hebu rekebisha badala ya kusema wameshikiria maisha ... sema ... wameshikilia maishaMkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikiria Maisha yetu', weka 'Wameshikiria Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
Pole sana mtumwa wa akili!! Akili yako imetekwa na mabeberu kiasi ambacho unawaabudu kabisa!! Maisha yangu hayakushikiliwa na MAREKANI kama yalivyoshikiliwa ya kwako!! Umechagua mwenyewe kuwa mtumwa wa mabeberu!!Angalia jana insta, whatsap na facebook ilivyopotea na watu tukapoteana kabisa. Tusijaribu kuwaita mabeberu mana wameshikilia maisha yetu na imawezekana walifanya hivyo ili waone how do we value them.
Hata case ya mbowe wakiamua kumwambia samia amtoe gerezani fasta anamtoa vinginevyo wanamute internate na social media nchi inakuwa null and void.
Unajua mtu akisha pewa cheo cha Gaidi, America inamchukulia hivyo hata kesi akiishinda! Mbele ya macho yao Mbowe ni Gaidi kama magaidi waliopo Guantanamo! Hasa ukiunganisha na magaidi waliopo kusini mwa nchi yetu, Mbowe anakuwa Gaidi la kutisha wamarekani - hapo hawamchekei mtu! Unajua tena walisha umwa na nyoka, hata Jani lina watisha!
Kwani kabla ya whatsup, Twitter na Facebook maisha yalikuwa hayaendi?Angalia jana insta, whatsap na facebook ilivyopotea na watu tukapoteana kabisa. Tusijaribu kuwaita mabeberu mana wameshikilia maisha yetu na imawezekana walifanya hivyo ili waone how do we value them.
Hata case ya mbowe wakiamua kumwambia samia amtoe gerezani fasta anamtoa vinginevyo wanamute internate na social media nchi inakuwa null and void.
Wazungu walimsafisha na kujidai kumkubali Mandela ili kuokoa wazungu wenzao (Boers and a few English) waendelee kukaa na kufaidi ardhi ya Afrika ya Kusini! Lakini Myoyoni mwao Mandela alikuwa/bado ni Gaidi!Una habari Mzee Mandela alishawahi kuwekwa kundi moja na magaidi? Alitangazwa gaidi.
Wazungu walimsafisha na kujidai kumkubali Mandela ili kuokoa wazungu wenzao (Boers and a few English) waendelee kukaa na kufaidi ardhi ya Afrika ya Kusini! Lakini Myoyoni mwao Mandela alikuwa/bado ni Gaidi!
Mipango yao hiyo imewanufaisha wazungu South Africa - lakini makosa makubwa kwa waafrika walio wengi!