Hii ni Tabia ya Kiswahili ni ya hovyo na inakera sana

Tabia inayonikera ni mtu wa pembeni yako kapigiwa simu, ghafla anaropoka nipo na fulani hapa chukua umsalimie! 😏😏🙄
 
Mtu anakulalamikia kakutumia msg humjibu,unamuuliza umenitumia lini msg? anajibu jana whatsapp

unamuuliza,hivi aliekwambia nipo whatsapp nani? anakujibu "nimekuona online siku ile mbona"

wananiboaga hawa raia acha tu,yani kuna watu msg za kawaida hatumi hata kwa bahati mbaya ila subiri

akuone upo ONLINE whatsapp lazima tu utamuona huyooo,ki ukweli najibugi tu ili wasinione nadharau ila sipendi...
 
🤔🤔 Nimekuja kujua kumbe wengi tunakerwa sana na hizi tabia tajwa apo juu hasa,,anapiga af anakuambia niambie,,unamuuliza we nan anasema kwani hunijui ,, mara mbna hunitafuti au umenisahau,, nataman ujumbe uwafikie ipasavyo maana ata kuwaambia direct inakuwa ni kazi




Kuna hii ingine apa,,


Unakuta mtu mnakaa nae kitaa kimoja ila kila siku akikutafta anaishia kukuambia mbona huonekani ase,,mara mbna hujagi huku kwetu(n:b ye kwetu hajagi Ila anapajua)
Mara mbona umejifungia hivyo

Ni vyema basi kama unashida sana ya sis kuonana uwe unakuja basi ninapoishi..,sio kulalamika kila siku
 
shida inayonikera ni pale ninapopiga simu halafu hata sijamaliza ongea unakata miache alokupigia ndiye akata
 
Well spoken Gudume katika ubora wako.
 
Yooote yaliyopita ni chamtoto, hii ndo kiboko kweli. Umenifanya nicheke sana mkuu
 
Hii "niambie" "leta story" "kuna mapya gani huko" boring sana
Gudume naye anasema tu, hivi mchuchu km Numbisa anipigie anambie lete story? nita boreka kweli labda usiwe mwanaume!

yaani ndo kwanza unamtumia Salio la kutosha. utasikia.. heeh!! nilikuwa nakutafuta Baby nkutumie ya Lunch! ..baby yaani naona damu zetu zinalandana kweli tumechaguana, nikikuwaza na wewe unaniwaaza raha sana sijawahi ona, !!! nikutayarishe nini leo baby???.. Amalula ya Blue.
 
Mtu anakupigia kwa namba ngeni, unapokea 'haloo' nae anaitika 'haloo' eboo si uongee
Mwingine anakupigia simu unapokea, unamuuliza we nani? Anagundua amekosea namba badala ya kutoa maelezo anakata Simu... Ila mtu akifanya hivyo nampigia namwambia aache use.nge
 
Kuna ile mtu ana namba 2 kwenye simu yake wew umemtext mfano kwenye voda halaf yeye anajibu na namba ya airtel ambayo huijui na wala hajitambulishi kam mm ni flan huko inakera sana
Hii inakera mno yaani
 

[emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mambo yanaendaje Lakini my wangu?? [emoji28][emoji28][emoji28] usiku unauonaje?
 
Nadhani huu muktadha sio sahihi sana.. linapokuja suala la wapendanao ni tofauti sana, maana yeye anataka kuendelea kuskia sauti yako, kama wewe unaona ni kero, itakuwa humpendi
Hapana aisee hata kama unampenda mtu sio kihivyo bwana....mtu anaanza kukuuliza upo kitandani? Umelala au umekaa? Umevaaje? Umelalaje..kiubavu, chali au umelalia tumbo? Haya maswali huwa hayavumiliki kabisa...hata nikijibu najibu in a way mtu atajua tu kuwa ananikwaza
 
Alikuwa na tabia kunipigia simu usiku wa manani.

Jana ilikuwa siku yake

Leo ananitumia mapicha ya lovebite imebidi avae hijabu ili kuficha
 
Mapenz hayahitaj huo u serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…