Hii ni upendo au ni nn wadau

Hii ni upendo au ni nn wadau

Mm nikijana nina miaka 28 ivi nina mke na mtoto mmoja mwanangu anaitwa Rose sasa hiki kituu ni kitambo na kinaniumiza sana iko hivii siku moja nimeamka niko hovyo sana akiba sina Rose alitoka kuumwaa soo nikawa sina hata ile sent moja hata wa kumkopa sina nilimpigia bimkubwa hana masisita zangu pia hawan mabor ngumu bosi simu zangu hashiki nikawa sina jinsi nikalala sasa bana mama Rose akaniambia ety ampigiee mzee wake ampe kama 20 ivii ila kwa vile mm ni mtu mzima yeye alinidanganya ni baba yake lakin hakuwa baba yake alikuwa mtu mwengine kabisa kiufupi sijuii alikuwa mchepuko basi yule jamaaa alimtumia mama Rose 30k hiyoo ilikuwa siku ya mnada tukaenda mnadani nunua mazaga unga mbogaa kama zote ikabaki 10 mama Rose akaninunulia jinsi kari ya mtumba anajua nguo huyuu mwanamke sasa hii kitu mm inanimate na mm huwa nilimwambia na ugomvi ukawa mkubwa akasema huyò jamaaa hampendi ananipenda mm hakuwa na jinsi ya kufanya tungekufaa njaaa sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee any way nawambea mmàlize mwaka 2024 salama
Chai ya rangi tangawizi
 
Kama wewe ulivyo na marafiki na yeye ana marafiki ambao huwezi jua aliwasaidia hela kipindi hiko kabla huja muoa.

Kuna watu tunajua wameolewa ila akikufata kukuomba hela kidgo unajua kabsa huyu kafika mwisho tuna saidia na maisha yanasonga.

30k ni hela ndogo man mana angekuwa anampa hela Kila siku basi akiba angekuwa nayo na Wala usingejua wapi katoa.

Pambana zidisha Wigo wa WATU wanao kuamini ili usikose hela ndogo kama hizo.
 
Ndio maisha yalivyo mkuu, tunaishi kwa kutegemeana.

Shida ni mbaya sana hasa ukiwa masikini (sinamaana kwamba wewe ni masikini) Ni kauli jumuishi, Kiufupi umasikini ni mbaya sana.

Kwahiyo mkuu funika kombe mwanaharamu apite kiroho safi kabisa mi nakuona unanafuu, kwani unaweza ukaruka majivu ukakanyaga moto au ukaruka mkojo akakanyaga haja kubwa...

Chakuzingatiza ni kwamba huu mfumo upo kwa karibia watu wote sio wewe tu, ni vile umejua, lakini ukweli ni kwamba wanaume tunasaidiana kulea familia, hawa mama zetu wanasiri kubwa sana awe mama mzazi au mama watoto kunakuaga na wajomba flani hivi wasiorasmi waliotupiga tafu kwenye nyakati ngumu.
 
Kukudanganya ni Baba yake ndie aliemtumia na sie baba yake Sio ishara nzuri B'se uongo ukishaanza kuchukua nafasi katika NDOA ujue adui wa NDOA teyari alishaingia NDANI ya ndoa na kusudi lake huwa ni kuharibu, kuiba na kuchinja


Sio kwamba alichokifanya kukudanganya ni kibaya hapana ila hiyo ni taa nyekundu na maana yake kuwa makini kwani kuna HATARI mbele



Yohana 8.44

"Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo"



ukisoma haya maneno vizuri na ukaelewa utajua mantiki iliyo nyuma ya uongo
 
Umasikini ni mbaya Kaka ,msamehe mkeo Ila uchukie umasikini


Tatizo Sio umasikini kwani vitu huja na kuondoka, Leo unaweza kua navyo Kesho usiwe navyo Ndio maana katika kiapo cha NDOA wameinclude hali zote B'se Huwezi kuwa navyo kila siku


Tatizo hapa ni mwanamke kutojua mantiki ya anachokitenda i.e lack of knowledge na wajibu wa mkumjulisha na kumuelewesha mwanamke mantiki ya kuishi ni wa mwanaume
 
Hivi kwanini unakimbilia Kuoa wakati hujiwezi (Kiuchumi)
Kupata Morning Erection ni swala la kwanza, kupata pesa ya kutosheleza familia ni swala Gumu zaidi.

Mda sio Mrefu hata nguvu za kijinsia nazo zitakuishia mkuu.

Kwa kifupi umejimaliza mwenyewe.
 
Mm nikijana nina miaka 28 ivi nina mke na mtoto mmoja mwanangu anaitwa Rose.

Sasa hiki kituu ni kitambo na kinaniumiza sana.

Iko hivii siku moja nimeamka niko hovyo sana akiba sina Rose alitoka kuumwaa so nikawa sina hata ile sent moja hata wa kumkopa sina.

Nilimpigia bimkubwa hana masista zangu pia hawan mambo ngumu, bosi simu zangu hashiki nikawa sina jinsi nikalala.


Sasa bana mama Rose akaniambia eti ampigiee mzee wake ampe kama 20 hivi ila kwa vile mm ni mtu mzima yeye alinidanganya ni baba yake lakin hakuwa baba yake alikuwa mtu mwengine kabisa.

Kiufupi sijui alikuwa mchepuko basi yule jamaaa alimtumia mama Rose 30k.

Hiyoo ilikuwa siku ya mnada tukaenda mnadani kununua mazaga unga mbogaa kama zote ikabaki 10 mama Rose akaninunulia jeans kali ya mtumba maana anajua nguo huyuu mwanamke


Sasa hii kitu mm inanimate na mm huwa nilimwambia na ugomvi ukawa mkubwa akasema huyò jamaaa hampendi ananipenda mm hakuwa na jinsi ya kufanya tungekufaa njaaa

Sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee

Any way nawambea mmàlize mwaka 2024 salama
na hiyo jeans kali ya mtumba ukavaa baada ya ugomvi?
 
Mm nikijana nina miaka 28 ivi nina mke na mtoto mmoja mwanangu anaitwa Rose.

Sasa hiki kituu ni kitambo na kinaniumiza sana.

Iko hivii siku moja nimeamka niko hovyo sana akiba sina Rose alitoka kuumwaa so nikawa sina hata ile sent moja hata wa kumkopa sina.

Nilimpigia bimkubwa hana masista zangu pia hawan mambo ngumu, bosi simu zangu hashiki nikawa sina jinsi nikalala.


Sasa bana mama Rose akaniambia eti ampigiee mzee wake ampe kama 20 hivi ila kwa vile mm ni mtu mzima yeye alinidanganya ni baba yake lakin hakuwa baba yake alikuwa mtu mwengine kabisa.

Kiufupi sijui alikuwa mchepuko basi yule jamaaa alimtumia mama Rose 30k.

Hiyoo ilikuwa siku ya mnada tukaenda mnadani kununua mazaga unga mbogaa kama zote ikabaki 10 mama Rose akaninunulia jeans kali ya mtumba maana anajua nguo huyuu mwanamke


Sasa hii kitu mm inanimate na mm huwa nilimwambia na ugomvi ukawa mkubwa akasema huyò jamaaa hampendi ananipenda mm hakuwa na jinsi ya kufanya tungekufaa njaaa

Sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee

Any way nawambea mmàlize mwaka 2024 salama
Ulivyomaliza story yako ni kama huhitaji ushauri wowote.
Anyway; mpende, kuwa naye karibu, piga kazi msipungukiwe mahitaji na kukaaa naye kwa akili.
 
Mm nikijana nina miaka 28 ivi nina mke na mtoto mmoja mwanangu anaitwa Rose.

Sasa hiki kituu ni kitambo na kinaniumiza sana.

Iko hivii siku moja nimeamka niko hovyo sana akiba sina Rose alitoka kuumwaa so nikawa sina hata ile sent moja hata wa kumkopa sina.

Nilimpigia bimkubwa hana masista zangu pia hawan mambo ngumu, bosi simu zangu hashiki nikawa sina jinsi nikalala.


Sasa bana mama Rose akaniambia eti ampigiee mzee wake ampe kama 20 hivi ila kwa vile mm ni mtu mzima yeye alinidanganya ni baba yake lakin hakuwa baba yake alikuwa mtu mwengine kabisa.

Kiufupi sijui alikuwa mchepuko basi yule jamaaa alimtumia mama Rose 30k.

Hiyoo ilikuwa siku ya mnada tukaenda mnadani kununua mazaga unga mbogaa kama zote ikabaki 10 mama Rose akaninunulia jeans kali ya mtumba maana anajua nguo huyuu mwanamke


Sasa hii kitu mm inanimate na mm huwa nilimwambia na ugomvi ukawa mkubwa akasema huyò jamaaa hampendi ananipenda mm hakuwa na jinsi ya kufanya tungekufaa njaaa

Sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee

Any way nawambea mmàlize mwaka 2024 salama
KUM ..lakini basi.
 
Ndio maisha yalivyo mkuu, tunaishi kwa kutegemeana.

Shida ni mbaya sana hasa ukiwa masikini (sinamaana kwamba wewe ni masikini) Ni kauli jumuishi, Kiufupi umasikini ni mbaya sana.

Kwahiyo mkuu funika kombe mwanaharamu apite kiroho safi kabisa mi nakuona unanafuu, kwani unaweza ukaruka majivu ukakanyaga moto au ukaruka mkojo akakanyaga haja kubwa...

Chakuzingatiza ni kwamba huu mfumo upo kwa karibia watu wote sio wewe tu, ni vile umejua, lakini ukweli ni kwamba wanaume tunasaidiana kulea familia, hawa mama zetu wanasiri kubwa sana awe mama mzazi au mama watoto kunakuaga na wajomba flani hivi wasiorasmi waliotupiga tafu kwenye nyakati ngumu.
Kweli
 
Back
Top Bottom