Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee
Unaoaje hujajipangaMm nikijana nina miaka 28 ivi nina mke na mtoto mmoja mwanangu anaitwa Rose.
Sasa hiki kituu ni kitambo na kinaniumiza sana.
Iko hivii siku moja nimeamka niko hovyo sana akiba sina Rose alitoka kuumwaa so nikawa sina hata ile sent moja hata wa kumkopa sina.
Nilimpigia bimkubwa hana masista zangu pia hawan mambo ngumu, bosi simu zangu hashiki nikawa sina jinsi nikalala.
Sasa bana mama Rose akaniambia eti ampigiee mzee wake ampe kama 20 hivi ila kwa vile mm ni mtu mzima yeye alinidanganya ni baba yake lakin hakuwa baba yake alikuwa mtu mwengine kabisa.
Kiufupi sijui alikuwa mchepuko basi yule jamaaa alimtumia mama Rose 30k.
Hiyoo ilikuwa siku ya mnada tukaenda mnadani kununua mazaga unga mbogaa kama zote ikabaki 10 mama Rose akaninunulia jeans kali ya mtumba maana anajua nguo huyuu mwanamke
Sasa hii kitu mm inanimate na mm huwa nilimwambia na ugomvi ukawa mkubwa akasema huyò jamaaa hampendi ananipenda mm hakuwa na jinsi ya kufanya tungekufaa njaaa
Sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee
Any way nawambea mmàlize mwaka 2024 salama
Jitahidi uwe protector na hauwezi kuwa protector kama huna pesa so focus ila pia acha kuzingatia sana hayo mambo yaliyo tokea utakosa utulivu wa akili.Mm nikijana nina miaka 28 ivi nina mke na mtoto mmoja mwanangu anaitwa Rose.
Sasa hiki kituu ni kitambo na kinaniumiza sana.
Iko hivii siku moja nimeamka niko hovyo sana akiba sina Rose alitoka kuumwaa so nikawa sina hata ile sent moja hata wa kumkopa sina.
Nilimpigia bimkubwa hana masista zangu pia hawan mambo ngumu, bosi simu zangu hashiki nikawa sina jinsi nikalala.
Sasa bana mama Rose akaniambia eti ampigiee mzee wake ampe kama 20 hivi ila kwa vile mm ni mtu mzima yeye alinidanganya ni baba yake lakin hakuwa baba yake alikuwa mtu mwengine kabisa.
Kiufupi sijui alikuwa mchepuko basi yule jamaaa alimtumia mama Rose 30k.
Hiyoo ilikuwa siku ya mnada tukaenda mnadani kununua mazaga unga mbogaa kama zote ikabaki 10 mama Rose akaninunulia jeans kali ya mtumba maana anajua nguo huyuu mwanamke
Sasa hii kitu mm inanimate na mm huwa nilimwambia na ugomvi ukawa mkubwa akasema huyò jamaaa hampendi ananipenda mm hakuwa na jinsi ya kufanya tungekufaa njaaa
Sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee
Any way nawambea mmàlize mwaka 2024 salama
...Wakikutana huko wakiamua Kupasha moto Kiporo ?Kwann?
msamaha unatosha, mambo ya kufuatilia ndo nini ka umesamehemsamehe brother kama amekuambia ukweli nina imani anakupenda ila cha msingi ni kuwamfuatilia asije akaingia kwenye vishawishi au mitego ya huyo jamaa kwahiyo mlinde mkeo zingatia hapo
Huna akili.Sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee
Vipi mkuu bado jeans yako kali ipo.mama Rose akaninunulia jeans kali ya mtumba maana anajua nguo huyuu mwanamke
Yaani unakaa na mchawi kisa wewe una nuru, nini itakuwa lengo la nyie kukaa pamoja.Uchawi ni giza hivyo kwa mwenye Nuru hauna Nguvu yoyote, Kwahiyo hata kama mwanamke ni mchawi huna Mamlaka ya kumuacha
Yaani unakaa na mchawi kisa wewe una nuru, nini itakuwa lengo la nyie kukaa pamoja.
Leo tena kataa ndoa wanatupiga 3-0! Hivi vijana mbona mmekuwa mazwazwa hivyo? Kama zamwamwa vile!Mm nikijana nina miaka 28 ivi nina mke na mtoto mmoja mwanangu anaitwa Rose.
Sasa hiki kituu ni kitambo na kinaniumiza sana.
Iko hivii siku moja nimeamka niko hovyo sana akiba sina Rose alitoka kuumwaa so nikawa sina hata ile sent moja hata wa kumkopa sina.
Nilimpigia bimkubwa hana masista zangu pia hawan mambo ngumu, bosi simu zangu hashiki nikawa sina jinsi nikalala.
Sasa bana mama Rose akaniambia eti ampigiee mzee wake ampe kama 20 hivi ila kwa vile mm ni mtu mzima yeye alinidanganya ni baba yake lakin hakuwa baba yake alikuwa mtu mwengine kabisa.
Kiufupi sijui alikuwa mchepuko basi yule jamaaa alimtumia mama Rose 30k.
Hiyoo ilikuwa siku ya mnada tukaenda mnadani kununua mazaga unga mbogaa kama zote ikabaki 10 mama Rose akaninunulia jeans kali ya mtumba maana anajua nguo huyuu mwanamke
Sasa hii kitu mm inanimate na mm huwa nilimwambia na ugomvi ukawa mkubwa akasema huyò jamaaa hampendi ananipenda mm hakuwa na jinsi ya kufanya tungekufaa njaaa
Sasa mm natak ushauri wenu huyuuu mwanamke mm nimfanyee nn nimuache cz naumia au nibaki nae nifunike kombe mwanaharamu apitee
Any way nawambea mmàlize mwaka 2024 salama
Anavaa na siku akitokelezea mke anasema amevaa Jean's ya mapaja yangu!Jeans unavaa au ushaichoma moto?