Hii ni wakina dada wenyewe wanaume wabahili

Hii ni wakina dada wenyewe wanaume wabahili

Sina mengi ya kusema, natoa ushauri tu kwa dada zangu hasa nyinyi mnaoishi kwenye miji mikubwa.

Dada, kama bae wako anajifanya mbahili, hakupi pesa, wewe pika uji asubuhi ukauze kazini kwake.

Usisahau kuja kunishukuru baadae.
Kazini kwangu wanajua natoka na ww.af mke ndo anapewa hela sio Demu.
 
🤣🤣🤣sijaelewa unataka nielezee nini Daddy🥴
una afiki ,je lina tija,ukijaribu kuvaa viatu ya mabinti waliko kwenye mausiano na bahili hili linaweza kuwa muarubaini na yapi maoni yako kwa ujumla
 
una afiki ,je lina tija,ukijaribu kuvaa viatu ya mabinti waliko kwenye mausiano na bahili hili linaweza kuwa muarubaini na yapi maoni yako kwa ujumla
Mi nakakibarua haka mwanaume bahili anipishe....shida kama ni tegemezi lazima uteseke mkuu
 
Back
Top Bottom