Hii ni Yanga sio Simba, maana ya Kikosi kipana ndio hii! Hakuna Pacome, Aucho na Yao, unatoa sare na Mamelodi iliyokamilika kila idara

Hii ni Yanga sio Simba, maana ya Kikosi kipana ndio hii! Hakuna Pacome, Aucho na Yao, unatoa sare na Mamelodi iliyokamilika kila idara

Angalia timu zote zinazojielewa zimetoa droo nyumbani, mikia pekee ndiyo imegongwa, mechi hizi zinachezwa kwa akili Kama ujafunga basi usiruhusu goli kwako ndio maana mnaitwa mwakarobo mnazicheza mechi hizi Kama mnavyocheza ligi mtaendelea kuishia hapo mpaka akili ziwakae sawa
Timu zote zilitaka kushinda, hakuna aliyetaka droo au kufungwa. Waliotoa droo siyo kwamba wanajielewa, maana hata wao wanajua wamefeli plan.

By the way, kwa hizi timu kubwa kama Al Ahly na Mamelodi, hata kama Simba na Yanga zingeshinda kwa margin ndogo (mfano: 1-0 au 2-1) bado uwezekano wa kwenda kutolewa huko ughaibuni ni mkubwa.
 
Usijipe faraja kuwa nyie mliofungwa dhidi ya Al Ahly na Yanga aliyetoa suluhu na Mamelod mpo sawa. Mfano
Mechi ya marudio tufanye zote mbili zikaisha kwa sare ya goli moja kwa moja.
Mamelod 1 yanga 1
Na Al Ahly 1 Simba 1
Yanga watafuzu kwa matokeo hayo, je Simba itafuzu kwa hayo matokeo?
Nimesema wapo sawa kwa sababu chance ya wao kushinda ugenini ni zaidi ya ndogo. Yaani hata kama wangeshinda hapa home kwa tofauti ndogo ya magoli, uwezekano wa kwenda kutolewa huko ughaibuni bado ni mkubwa.

Hakuna meza za kupindua kule Egypt na South Africa. Hazipo!
 
izo ni hisia zako wew zimekutuma utabiri matokea ya aina hiyo mfano na Simba ikitokea kashinda mbili moja Na Yanga akaenda kufugwa moja bila kina Nani wataenda Nusu
Ndio ujue kuwa Yanga sio lazima ashinde ndio asonge mbele bali sare yeyote ya magoli yanambeba. Hiyo ndio faida ya kutoruhusu goli. Ila Simba ni lazima washinde ndio wasonge mbele ni kwasababu wameruhusu goli. Hivyo mpaka hapo hakuna usawa kati ya Yanga aliyetoa sare na Simba aliyefungwa.
 
Nimesema wapo sawa kwa sababu chance ya wao kushinda ugenini ni zaidi ya ndogo. Yaani hata kama wangeshinda hapa home kwa tofauti ndogo ya magoli, uwezekano wa kwenda kutolewa huko ughaibuni bado ni mkubwa.

Hakuna meza za kupindua kule Egypt na South Africa. Hazipo!
Yanga ili afuzu sio lazima ashinde mechi hata sare ya magoli inampeleka mbele. Kitu kikubwa cha faida kwa Yanga ni kutoruhusu goli. Mechi ya marudiano kule South, Mamelod wanatakiwa watafute magoli na wakati huo huo wasiruhusu Yanga kupata goli.
 
HAKIKA YANGA NI TIMU BORA

Makolokolo yangecheza na Mamelodi yangepigwa 4
 
Nimesema wapo sawa kwa sababu chance ya wao kushinda ugenini ni zaidi ya ndogo. Yaani hata kama wangeshinda hapa home kwa tofauti ndogo ya magoli, uwezekano wa kwenda kutolewa huko ughaibuni bado ni mkubwa.

Hakuna meza za kupindua kule Egypt na South Africa. Hazipo!
We sema tu ni mwanasimba

Unaombea wote tutolewe

Aaahaaa
 
Yanga ili afuzu sio lazima ashinde mechi hata sare ya magoli inampeleka mbele. Kitu kikubwa cha faida kwa Yanga ni kutoruhusu goli. Mechi ya marudiano kule South, Mamelod wanatakiwa watafute magoli na wakati huo huo wasiruhusu Yanga kupata goli.
ilo Goli unaloenda kufunga South Africa atafunga mzize au
 
Imagine simba bila chama na kibu ingechezaje
Na ndio maana wakasajiliwa na timu ili waongeze mchango kweny timu wew huna tofauti na wale jamaa yani bila kipa kudaka lile shuti lingekua Goli pale hujui hata umuhimu wa specilization na Division of labour kweny kazi Ndio maana umendika uwo upupu
 
Back
Top Bottom