Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Timu zote zilitaka kushinda, hakuna aliyetaka droo au kufungwa. Waliotoa droo siyo kwamba wanajielewa, maana hata wao wanajua wamefeli plan.Angalia timu zote zinazojielewa zimetoa droo nyumbani, mikia pekee ndiyo imegongwa, mechi hizi zinachezwa kwa akili Kama ujafunga basi usiruhusu goli kwako ndio maana mnaitwa mwakarobo mnazicheza mechi hizi Kama mnavyocheza ligi mtaendelea kuishia hapo mpaka akili ziwakae sawa
Nimesema wapo sawa kwa sababu chance ya wao kushinda ugenini ni zaidi ya ndogo. Yaani hata kama wangeshinda hapa home kwa tofauti ndogo ya magoli, uwezekano wa kwenda kutolewa huko ughaibuni bado ni mkubwa.Usijipe faraja kuwa nyie mliofungwa dhidi ya Al Ahly na Yanga aliyetoa suluhu na Mamelod mpo sawa. Mfano
Mechi ya marudio tufanye zote mbili zikaisha kwa sare ya goli moja kwa moja.
Mamelod 1 yanga 1
Na Al Ahly 1 Simba 1
Yanga watafuzu kwa matokeo hayo, je Simba itafuzu kwa hayo matokeo?
Ndio ujue kuwa Yanga sio lazima ashinde ndio asonge mbele bali sare yeyote ya magoli yanambeba. Hiyo ndio faida ya kutoruhusu goli. Ila Simba ni lazima washinde ndio wasonge mbele ni kwasababu wameruhusu goli. Hivyo mpaka hapo hakuna usawa kati ya Yanga aliyetoa sare na Simba aliyefungwa.izo ni hisia zako wew zimekutuma utabiri matokea ya aina hiyo mfano na Simba ikitokea kashinda mbili moja Na Yanga akaenda kufugwa moja bila kina Nani wataenda Nusu
Yanga ili afuzu sio lazima ashinde mechi hata sare ya magoli inampeleka mbele. Kitu kikubwa cha faida kwa Yanga ni kutoruhusu goli. Mechi ya marudiano kule South, Mamelod wanatakiwa watafute magoli na wakati huo huo wasiruhusu Yanga kupata goli.Nimesema wapo sawa kwa sababu chance ya wao kushinda ugenini ni zaidi ya ndogo. Yaani hata kama wangeshinda hapa home kwa tofauti ndogo ya magoli, uwezekano wa kwenda kutolewa huko ughaibuni bado ni mkubwa.
Hakuna meza za kupindua kule Egypt na South Africa. Hazipo!
We kweli pimbi, umesahau rotation ya kikosi ndio ilisababishwa mkakandwa bao2Halafu form one msitusumbue humu ndani,namaanisha akili fupi
We sema tu ni mwanasimbaNimesema wapo sawa kwa sababu chance ya wao kushinda ugenini ni zaidi ya ndogo. Yaani hata kama wangeshinda hapa home kwa tofauti ndogo ya magoli, uwezekano wa kwenda kutolewa huko ughaibuni bado ni mkubwa.
Hakuna meza za kupindua kule Egypt na South Africa. Hazipo!
ilo Goli unaloenda kufunga South Africa atafunga mzize auYanga ili afuzu sio lazima ashinde mechi hata sare ya magoli inampeleka mbele. Kitu kikubwa cha faida kwa Yanga ni kutoruhusu goli. Mechi ya marudiano kule South, Mamelod wanatakiwa watafute magoli na wakati huo huo wasiruhusu Yanga kupata goli.
Kolo tatizo wanajua hizi ni ndondo cup unajishindia tu tani yako, ndo maana wamefungwaKIKOSI NI KILE KILE KINGEKUWA KIPANA USHINDI UNGEPATIKANA
AaaahaaHawa wamekaribia kus3ma, malengo ilikua makundi😂😂
Sio kuombea, ndo tumeshatolewa wote hivyo.We sema tu ni mwanasimba
Unaombea wote tutolewe
Aaahaaa
Kwani zile tano ulifungwa na akina nani?ilo Goli unaloenda kufunga South Africa atafunga mzize au
kwahyo Simba ni mamelod au sio kisa alifunga Goli dhidi ya Simba basi na mamelod atawafunga Mbona jana karuruka tu hajafunga Tena ndio mchezaji aliyekosa big chanceKwani zile tano ulifungwa na akina nani?
Na ndio maana wakasajiliwa na timu ili waongeze mchango kweny timu wew huna tofauti na wale jamaa yani bila kipa kudaka lile shuti lingekua Goli pale hujui hata umuhimu wa specilization na Division of labour kweny kazi Ndio maana umendika uwo upupuImagine simba bila chama na kibu ingechezaje