Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

ndio maana mnamchora mpaka kwenye magari yenu View attachment 1400164
.....na Osama pia, ni sifa na heshima kubwa.
005296-SB1.jpg
 
Halafu na kwenu huko si ndio mnajiandaa kwa uchaguzi mwaka huu, nimeelewa kwanini imewabidi hata nyie mshupaze shingo.
Nilikua nashangaa kwanini ukanda huu nyie ndio muonekane kutozingatia tahadhari yoyote.
Uchaguzi na kushupaza shingo kunahusiana vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee jamaa yaani hawa Watz huwa hawana hamu na wewe, huwa unawatesa sana.....hehehehe
[emoji1][emoji1][emoji1] Tena bila kutumia matusi ya vijijini vijijini, kama kunguni, mende na sijui panya. 😀 Naton Jr, hiyo ndio inaitwa 'hallmark of high intellect', if you know what I mean. Omera but do I say? Naona unaweweseka sana na suala la IQ.
 
Ati unasema hakuna uhusiano wowote wa "Economic stimulation" na restrictions. Yaani hata vitu basic huelewi sijui utaelimishwa nani .
Saa hii Us wanadeal na reduction in demand ya agricultural products ,Tech gadgets, Technology ,Cars e.t.c. Sales ya vitu ka Iphone imeshuka .
Kazi yako nikujifanya Economist na hata huelewi basics.
Achana na hawa viumbe, vitu simpo kama 'economic stimulus' na 'restrictions' kwao ni masamiati ya sayari nyingine. Hawa walikimbiza mwenge kama vichaa hadi wakaacha akili zao nyuma.
 
Hii fungia ndani nayo siielewi huko Italy na spain watu wanajifungia ndani lakini ndio hali inazidi tete.
 
Waafrika wengi hawana hata uhakika wa mlo wa jioni leo wanataka waache kufanya kazi kisa corona shenzi sana. Tuzuie corona tuue watu kwa njaa.

Binafsi sikubaliani dunia nzima kusimama kisa hiki kirusi, maisha lazima yaendelee, JPM aliona mbali alisema watu wachukue tahadhairi ila lazima wapige kazi, KE na RW kama kawaida yao, wazee wa kuwafurahisha mabwana zao wa magharibi wanafahamika kama "Western Dearest" walikua wa kwanza Africa nzima kudandia hili treni as expected. Sasa wanaonenaka vituko maana hamna cha maana wamefanya.

Haya mafua yanaua sana mizungu acha wao wachukue extreme measure sisi tusicheze ngoma isiyo yetu kama ambavyo wao hawakusimama hata sekunde moja wakati wa ebola zaidi ya kuchukua tahadhari tu.
 
Waafrika wengi hawana hata uhakika wa mlo wa jioni leo wanataka waache kufanya kazi kisa corona shenzi sana. Tuzuie corona tuue watu kwa njaa.

Binafsi sikubaliani dunia nzima kusimama kisa hiki kirusi, maisha lazima yaendelee, JPM aliona mbali alisema watu wachukue tahadhairi ila lazima wapige kazi, KE na RW kama kawaida yao, wazee wa kuwafurahisha mabwana zao wa magharibi wanafahamika kama "Western Dearest" walikua wa kwanza Africa nzima kudandia hili treni as expected. Sasa wanaonenaka vituko maana hamna cha maana wamefanya.

Haya mafua yanaua sana mizungu acha wao wachukue extreme measure sisi tusicheze ngoma isiyo yetu kama ambavyo wao hawakusimama hata sekunde moja wakati wa ebola zaidi ya kuchukua tahadhari tu.

Hahah serikali ilikua inasema wagonjwa wote 12 wa Corona ni imported case,baada ya Mbowe kuwaumbua kwa kusema mtoto wake hajasifiri kwenda nje tangu January basi Ummy akatoka mbio mbio huko ooh tumefikisha wagonjwa 13 na huyu hakuwahi kusafiri kwenda nje,hahah Mbowe aliumbua watu.

Waziri wa huko Burundi ameulizwa so far nchi yenu ina mafanikio ya kupambana na ugonjwa wa Corona nini siri ya mafanikio yenu?

Nae akajibu siri kubwa ya mafanikio yetu ni kwamba hatuna vifaa vya kupimia ugonjwa huo so hatujapima watu ndio maana so far hatuna mgonjwa,hahaha waafrica bana.
 
Back
Top Bottom