Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Choko ni wewe ambaye unafananisha National Prayer Day, siku moja tu ya maombi ya dini zote kwa pamoja, na hizo kauli za Jiwe. Ambazo zinawakubalia mkaloweshane jasho na mate kwenye makanisa na misikiti, eti ndio mkamtokomeze shetani ambaye anaitwa Corona. National Prayer Day ilifanyika Kenya na Uganda pia, siku hiyo hiyo moja tu, kisha tukasahau hayo mambo ya kukusanyika kwenye nyumba za ibada.
bdbbd1deb6237d60884c97b5d81ee078
Ona 'sitting arrangement' ilivokuwa, hakuna kukaribiana, mita 1.5x1.5.
Hiyo hiyo siku moja inatosha kuambukizana, kwani mimba huingia kwa kukutana mara ngapi?, huu ujinga wenu wa kuona kwamba ninyi mnalofanya ni sahihi lakini wanalofanya wengine ni makosa ndio yanayosababisha kuwatania na kuwakebehi mnapopatwa na majanga.

Kama maombi hayazuii maambukizi (jambo ambalo ni kweli), basi iwe ni kosa kwa wote, kwa Magufuli kuruhusu nyumba za ibada kuendelea, na ninyi kukusanyika na kufanya maombi ya kitaifa, yote ni makosa na upotofu yanapaswa kukemewa, Wacha kuanza kujifanya kwamba kwenu ni siku moja kwa hiyo sio kosa lakini kwa wengine ni kosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah serikali ilikua inasema wagonjwa wote 12 wa Corona ni imported case,baada ya Mbowe kuwaumbua kwa kusema mtoto wake hajasifiri kwenda nje tangu January basi Ummy akatoka mbio mbio huko ooh tumefikisha wagonjwa 13 na huyu hakuwahi kusafiri kwenda nje,hahah Mbowe aliumbua watu.

Waziri wa huko Burundi ameulizwa so far nchi yenu ina mafanikio ya kupambana na ugonjwa wa Corona nini siri ya mafanikio yenu?

Nae akajibu siri kubwa ya mafanikio yetu ni kwamba hatuna vifaa vya kupimia ugonjwa huo so hatujapima watu ndio maana so far hatuna mgonjwa,hahaha waafrica bana.

Wangapi wamefariki katika hao 13? Wangapi wamefariki EA due to corona?

Kwanini tuache shughuli kisa vifo kadhaa tu? Ajali zinaua watu kila siku Africa ila watu bado wanasafiri.

JPM alisema vizuri kabisa ni uzwazwa kuacha shughuli mfe njaa kisa corona sasa Trump wanayemuamini sana anasema hayohayo. KE na RW kama kawaida yao wamekimbia kucheza ngoma isiyowahusu shenzi sana hawa jamaa they'll do anything kuwafurahisha mabwana zao.

Jua linatoka kila leo dunia haisimami fanyeni kazi binadamu is a social animal hawezi kukaa ndani kama mfungwa.
 
Hapo sasa, naona umeishiwa na hoja. Kwenye hili jukwaa watu huwa wanatumia 'facts'. Ambazo nitaendelea kukupa tu upende usipende. Nazungumzia kitu ambacho nimekifatilia tangia mwanzoni. Utaelimika tu, usiwe na hofu. Masaa matatu yaliyopita Congress imepitisha stimulus package ya $ 2Trillion kwa wananchi wao ambao wameathirika na hasara kutokana na lockdown za kibiashara na usafiri pia. Haya ndio masuala ambayo unajaribu kuyafananisha na kauli za ajabu ajabu kutoka kwa Jiwe lenu.

Halafu huyo beberu bwana wao Marekani ambaye wanamtegemea kwa kauli zake kule kwao ndiye anaaongoza kwa maambukizi sasa...

2349711_Screenshot_2020-03-26-23-59-18-1.png
 
Anaongoza kwa maambukizi, Anaongoza kwa uchumi mkubwa lakini bado anawaambia watu wake wachape Kazi. Ninyi masikini wa kutupwa, kifo kimoja na wagonjwa 30, mnawaambia watu wasichape Kazi Wakati huohuo mumeanza kutembeza bakuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rwanda mpaka wanaua wanaotoka nje kwa risasi kwa kweli akili za mitawala ya Africa Mungu tu ndo anazijua
 
Anaongoza kwa maambukizi, Anaongoza kwa uchumi mkubwa lakini bado anawaambia watu wake wachape Kazi. Ninyi masikini wa kutupwa, kifo kimoja na wagonjwa 30, mnawaambia watu wasichape Kazi Wakati huohuo mumeanza kutembeza bakuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa mpo kwenye shughuli za kumfanyia mzee kampeni ila ingekuwa vyema kama mngetumia mbinu zingine.
skynews-coronavirus-empty-new-york_4948300.jpg
Hivi ndio hali ilivokuwa jana mchana kwenye miji ya New York(kushoto) na Los Angeles(Kulia).
 
Naelewa mpo kwenye shughuli za kumfanyia mzee kampeni ila ingekuwa vyema kama mngetumia mbinu zingine.
skynews-coronavirus-empty-new-york_4948300.jpg
Hivi ndio hali ilivokuwa jana mchana kwenye miji ya New York(kushoto) na Los Angeles(Kulia).
Pamoja na hayo yote lakini Trump anataka watu wakachape Kazi ili kuokoa uchumi usiporomoke pamoja na kuwa na uchumi mkubwa zaidi dunia, pamoja na kuingiza trillions za dola ili kusisimua uchumi.

Jambo la ajabu ni kusikia nchi masikini na zilizofilisika, ambazo zinawategemea hao wamarekani na wachina, ambazo tayari zinatembeza bakuli, ambazo tayari zinaomba kufutiwa madeni, zipo mstari wa mbele kuwaambia raia wake wasichape Kazi. China hawakuzuia raia wake wasichape Kazi, isipokua mji mmoja tu wa Wuhan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangapi wamefariki katika hao 13? Wangapi wamefariki EA due to corona?

Kwanini tuache shughuli kisa vifo kadhaa tu? Ajali zinaua watu kila siku Africa ila watu bado wanasafiri.

JPM alisema vizuri kabisa ni uzwazwa kuacha shughuli mfe njaa kisa corona sasa Trump wanayemuamini sana anasema hayohayo. KE na RW kama kawaida yao wamekimbia kucheza ngoma isiyowahusu shenzi sana hawa jamaa they'll do anything kuwafurahisha mabwana zao.

Jua linatoka kila leo dunia haisimami fanyeni kazi binadamu is a social animal hawezi kukaa ndani kama mfungwa.
Wamekurupuka kusitisha huduma mbalimbali ikiwemo kufunga mipaka lakini cha ajabu visa vinazidi kuongezeka kwenye nchi zao,
Nchi moja wamezuia mikusanyiko mchana ila usiku wanaruhusu... Ina maana vile virusi vinasambaa tu mchana then usiku vinakuwa vimelala 😷😷😷
 
Jambo la ajabu ni kusikia nchi masikini na zilizofilisika, ambazo zinawategemea hao wamarekani na wachina, ambazo tayari zinatembeza bakuli, ambazo tayari zinaomba kufutiwa madeni, zipo mstari wa mbele kuwaambia raia wake wasichape Kazi. China hawakuzuia raia wake wasichape Kazi, isipokua mji mmoja tu wa Wuhan.
Mkazi wa kibera anafanya kazi ili apate pesa ya kula na mahitaji mengine halafu leo hii unakuja kumuambia eti ajifungie ndani asiende popote na hapo ukumbuke hana chakula ndani 😷😷😷
 
Hahah serikali ilikua inasema wagonjwa wote 12 wa Corona ni imported case,baada ya Mbowe kuwaumbua kwa kusema mtoto wake hajasifiri kwenda nje tangu January basi Ummy akatoka mbio mbio huko ooh tumefikisha wagonjwa 13 na huyu hakuwahi kusafiri kwenda nje,hahah Mbowe aliumbua watu.

Waziri wa huko Burundi ameulizwa so far nchi yenu ina mafanikio ya kupambana na ugonjwa wa Corona nini siri ya mafanikio yenu?

Nae akajibu siri kubwa ya mafanikio yetu ni kwamba hatuna vifaa vya kupimia ugonjwa huo so hatujapima watu ndio maana so far hatuna mgonjwa,hahaha waafrica bana.

Duh! ila kwa kweli ukosefu wa vifaa au uwezo unasababisha baadhi ya mataifa yasionekane kuathirika sana.
 
Manyangau ata msiseme kitu ,Wapee tu time praise team watakuja jua seriousness ya hii kitu
 
Hahahaha, rushwa ikijikita katika DNA za watu, nchi nzima inaweza kitu kidogo, kwahiyo kumbe wakenya wote wanaokesha hapa JF wamelipwa na Jubilee Sio?, huku kwetu hayo mambo hawapo, tunayasikia toka Kenya, tafadhali msituambukize matatizo yenu. Sisi Nyerere alitujengea uzalendo, huko Mzee Kenyatta aliwajengea ukabila na rushwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He is a Leader of 55m people, and the Entire Africa respect him big time,
Je, wewe ni nani? Una hata familia unaiongoza? Kojoa ulale Kapuku wewe.
Texhnique ya mawe ni hovyo kabisa

Jamaa hakunaga mtihani alishafaulu,wowote ule

Uamuzi anachokua wowote ule kuhusu lolote lile ni suspect!

Siwezi kaa hapa naamini anything this guy makes decision on,never!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mzee, Sote tunatambua misuli ya US kwenye uchumi, ila in a short time ameamua watu wafanye kazi, meaning ameona hali utakuwa mbaya,
Sasa nyie makapuku jamani mnakaa ndani kisa kifo kimoja, seriously?? si njaa itawaangamiza taifa taifa lote? Yaani bila ya corona na mkipiga mishe zenu za kuhangaika bado njaa inawakamua kwelikweli, je mkikaa ndani unadhani hali itakuwaje? Unadhani kuna IQ kweli hapo?
Halafu huyo beberu bwana wao Marekani ambaye wanamtegemea kwa kauli zake kule kwao ndiye anaaongoza kwa maambukizi sasa...

2349711_Screenshot_2020-03-26-23-59-18-1.png

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu, hao jamaa hata wakikaa miezi sita bila kufanya kazi hawataangamia kwa njaa,
Hapo Kenya kifo kimoja tu mnataka kukaa ndani, Siku mbili tu tayari mnatembeza bakuli, mnaombaomba hovyo, bila corona huwa mnakufa njaa pamoja na mihangaiko yenu, sasa mkikaa hata wiki tu si mtateketea wote ?
Naelewa mpo kwenye shughuli za kumfanyia mzee kampeni ila ingekuwa vyema kama mngetumia mbinu zingine.
skynews-coronavirus-empty-new-york_4948300.jpg
Hivi ndio hali ilivokuwa jana mchana kwenye miji ya New York(kushoto) na Los Angeles(Kulia).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mzee, Sote tunatambua misuli ya US kwenye uchumi, ila in a short time ameamua watu wafanye kazi, meaning ameona hali utakuwa mbaya,
Sasa nyie makapuku jamani mnakaa ndani kisa kifo kimoja, seriously?? si njaa itawaangamiza taifa taifa lote? Yaani bila ya corona na mkipiga mishe zenu za kuhangaika bado njaa inawakamua kwelikweli, je mkikaa ndani unadhani hali itakuwaje? Unadhani kuna IQ kweli hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app

US hajaamua watu wafanye kazi, in fact nimesoma sehemu ameanza kuita madaktari kutoka matafa mengine akiwahakikishia visa ya kudumu ili watu wake wapate nafuu, hali inazidi kuwa balaa kule, tunaomba hao wazungu wagundue dawa upesi kabla kirusi hakijatamalaki Afrika maana tutafutwa kwenye ramani ya dunia, haswa kwa nchi maskini kama nyie, japo wachache mnategemea vihela vya CCM kwenye mitandao kubeza Kenya, ila najua kwenye mioyo yenu mnajua mziki unaokuja ni balaa pasipogundulika namna.
 
Tumia akili kama unazo. Watu waendelee kufanya kazi, Kenya ni Taifa fukara, Siku mbili tu mnatmbeza Bakuli na mmeanza Kulilia china iwasaidie kuwasamehe madeni (looks funny though [emoji3])
Watu wachukue Tahadhali zote na wafanye kazi,
99% ya wakenya ni Mafukara wanategemea kipato cha kula siku hiyohiyo.
US hajaamua watu wafanye kazi, in fact nimesoma sehemu ameanza kuita madaktari kutoka matafa mengine akiwahakikishia visa ya kudumu ili watu wake wapate nafuu, hali inazidi kuwa balaa kule, tunaomba hao wazungu wagundue dawa upesi kabla kirusi hakijatamalaki Afrika maana tutafutwa kwenye ramani ya dunia, haswa kwa nchi maskini kama nyie, japo wachache mnategemea vihela vya CCM kwenye mitandao kubeza Kenya, ila najua kwenye mioyo yenu mnajua mziki unaokuja ni balaa pasipogundulika namna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom