Hii picha inatuambia nini? Kwamba Tanzania is full of nepotism? Rais na mkwe wake wanaweka jiwe la msingi!

Hii picha inatuambia nini? Kwamba Tanzania is full of nepotism? Rais na mkwe wake wanaweka jiwe la msingi!

Una bahati wakati Rais kikwete anakadhiwa nyumba yake, mwanae alikua hajateuliwa katika Wizara ya Ardhi ,nyumba na Makazi...hii extension regime ya awamu ya Tano ingempatia mtoto jukumu la kumkabidhi baba nyumba iliyojengwa kwa Kodi za Watanganyika... ambayo kimsingi yeye ndie atakayekuja kuirithi na kuitumia kwa muda murefu kuliko mzawadiwa.
 
Mchapakazi angeuza Kigosi National Park kwa waarabu.

Mchapakazi angeuza misitu yetu kwa waarabu.

Mchakazi angetenga 21% ya ajira taasisi za muungano kwa ndugu zake Wazanzibari!.
Hebu nenda jikoni kachochee maharage we mtoto mwenye dalili zote za kurithi ushetwani wa uzushi na uongo uliopitiliza.......mtakuja kuda vinywa wazi kwa michuki mliyoijaza vifuani mwenu.
 
kwenda ofisi ya raisi ila ukienda hivyo hata getini hutapita.
Facts...

na hata Bungeni hupiti getini na dress code ya mtaani kama hiyo...

Waziri anajua nini cha kuvaaa mbele ya Rais, kwenye shughuli rasmi ya kufungua Halmashauri... Ameamua kudharau kwa saabu Rais ni Mama Mkwe na Mama Mkwe mwenyewe hana gravitas mbele ya Jamii...


Kiti hakina gravitas, kiti hakina uzito na heshima, mpaka watoto mkwe wanakudharau. There is no way in hell Waziri wa Julius Nyerere angemsalimu bosi na kapelo kichwani na raba za Chuck Taylors na jinzi la disco teka.... Outside ring of the security detail ingewekwa kwenye preventive detention kwa kumuachia mhuni kupenya kumsogelea Rais
 
View attachment 2751738
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi wa Ofisi za Halmashauri ya Masasi Mkoani Mtwara tarehe 16 Septemba, 2023.
View attachment 2752398
Samia by nature ni nepotist. Watu kama hao huona ni sahihi kabisa kumpendelea jamaa yake na hua na upofu kuhusu mapungufu ya yule wanayetaka kumpa cheo. Nchi kama yetu hatuhitaji kiongozi mkuu kama huyo. Umeona enzi ya nyerere akiacha familia yake kupambana kila mtu kikwake. Halafu tukaona magufuli hata wanawe tumewajua baada ya kifo chake.
 
View attachment 2751738
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi wa Ofisi za Halmashauri ya Masasi Mkoani Mtwara tarehe 16 Septemba, 2023.
View attachment 2752398
Yaani Raisi, kuwa na ndugu yake, serikakini ni ko sa? Kuwa, ndugu, mtoto wa raisi hakukuondolei sifa ya kuteuliwa,
 
Mchengerwa hata angekua mtoto wa raisi sioni tatizo maana ni mtendaji mzuri sana.
 
Hapo Mtoto atamtania Baba hivi ulifikisha salamu zangu kwa Bibi? Alafu wewe Baba kila wakati ukiwa na Bibi mbona umpatii simu niongee nae, wewe sikupendi tena.
 
😁 na ukitaka ujue ni mkwe kweli angalia mguuni mchengerwa kapiga nn,na wenzake wamevaa nn.
 
Back
Top Bottom