Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Kwa hiyo ulitaka ajenge barabara kwa kutumia majani? Kama anatumia kodi zetu kujenga barabara na kukamilisha vizuri kwanini tusimpongeze kwa kutumia vizuri kodi zetu kwa ustawi wa Taifa letu?Hii ni michawa kama kawaida ndiyo inamsifu Rais kwa kujenga barabara wakati anatumia kodi za wananchi kujenga hiyo barabara. Nchi hii ina mijitu ya ajabu sana aisee!