Hii picha inatuambia nini? Kwamba Tanzania is full of nepotism? Rais na mkwe wake wanaweka jiwe la msingi!

Hii picha inatuambia nini? Kwamba Tanzania is full of nepotism? Rais na mkwe wake wanaweka jiwe la msingi!

Hii nchi ni ya kipuuzi sana.....inaelekea kuwa mali ya watu wachache kwa maslahi yao binafsi na vizazi vyao. Ipo siku yatatokea yaliyotokea huko Rwanda ikiwa watawala hawataacha upumbavu wao.
Acha ushamba ndugu yangu.kwa hiyo kiongozi akiwa mchapa kazi aina ya mchengerwa unataka asipate nafasi ya kuwa kiongozi serikalini? Unataka anyimwe haki ya kuwa kiongozi ? Kwa Mawazo ya kijinga na kishamba aina yako basi leo hii George Bush asingekuwa Rais wa Marekani.
 
Kapelo, raba mkato, jinzi, shati la kuning'inia.

Mavazi ya Waziri mbele ya Rais yanaongea wazi, sijali lolote, bosi wangu mama angu, uwaziri kanipa yeye, anaulinda yeye ili binti yake alishwe, utanieleza nini....

hawajui hata kula na kipofu, kufeki kwamba tunapiga kazi, tuna heshima, tunathamini wananchi, tunaogopa mamlaka ya juu....

ujana maji ya moto
Na bado, mtateseka sana
 
We endelea kuzingatia hizo code bila content upstairs uone Kama utapata kitu hamjui Dunia ishatoka Zama zenu za kuangalia Mtu kavaa Nini now ni content kichwani .
Nimekuuliza Dunia ipi iliyotoka kwenye dress code?unakimbilia content upstairs,nijibu hiyo Dunia iliyotoka huko ni ipi?
 
Acha ushamba ndugu yangu.kwa hiyo kiongozi akiwa mchapa kazi aina ya mchengerwa unataka asipate nafasi ya kuwa kiongozi serikalini? Unataka anyimwe haki ya kuwa kiongozi ? Kwa Mawazo ya kijinga na kishamba aina yako basi leo hii George Bush asingekuwa Rais wa Marekani.
Umesahau kuweka number ya simu Leo.
 
Acha ushamba ndugu yangu.kwa hiyo kiongozi akiwa mchapa kazi aina ya mchengerwa unataka asipate nafasi ya kuwa kiongozi serikalini? Unataka anyimwe haki ya kuwa kiongozi ? Kwa Mawazo ya kijinga na kishamba aina yako basi leo hii George Bush asingekuwa Rais wa Marekani.
Acha kutetea nepotism mkuu. Watu kama wewe ndio waliopelekea machafuko ya Rwanda na sasa wanasota magerezani.
 
Tufanye umeshinda endelea kuzingatia code tuone mwisho wake
Asante Kwa kuwa na kichwa chepesi kuelewa kwamba Kwa Hilo umebugi.... Mwambieni aache kuvaa kama anaenda kuuza nyanya au Yale makofia yake kama anavuna mpunga Burma.....avae kutokana na event na mahali anaenda aache ujinga.....japo Sina neno na akili yake kiutendaji
 
Acha kutetea nepotism mkuu. Watu kama wewe ndio waliopelekea machafuko ya Rwanda na sasa wanasota magerezani.
Hakuna upendeleo hapo.Mh mchengerwa ni mchapa kazi sana tena sana na ndio maana alipotolewaga utumishi uliona namna watumishi wa umma walivyo bubujikwa machozi ya uchungu ,kwa kuwa ni wakati wake ambapo watumishi wa umma walikuwa wanasikilizwa sana na kutendewa haki na kutatuliwa kero zao kwa haraka sana.
 
Acha uvivu wa kufikiri na chuki Binafsi. kwa hiyo kwa akili yako umeshindwa kutambua majukumu ya wizara ya Yakiwemo ni yapi na waziri wa Tamisemi anashughulika na nini? Kwa akili yako hiyo hiyo inayokutosha mwenyewe mpaka kukusaidia kuingia humu jukwaani umeshindwa kutambua kuwa halmashauri zipo chini ya Tamisemi na waziri mchengerwa ndiye mhusika? Yaani unajidhalilisha sana na kuonyesha namna usivyoweza kufikiri kwa kina na jinsi ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri.Mweye akili japo kidogo asingeweza kuleta jambo la namna hiyo uliloleta wewe hapa.

Chuki zako binafsi kwa mh Rais zilishakutoa akili kichwani na sasa umebaki kama kituko tu humu jukwaani. Nenda hospitali upate matibabu haraka sana kabla akili haijayumba jumla
Mbona upo ya mada? Au ndio kufikiri kwa makalio yenye upele?
 
Kuna mimtu akili zao mpaka wapigiwe ngoma masikoni ndio watazinduka
Hii ni michawa kama kawaida ndiyo inamsifu Rais kwa kujenga barabara wakati anatumia kodi za wananchi kujenga hiyo barabara. Nchi hii ina mijitu ya ajabu sana aisee!
 
Back
Top Bottom