Hii Picha Itadumu kwa Miaka Mingi Sana Na Kuonyesha kuwa hakuna picha Ya bahati mbaya Inayopigwa Ikulu

Lissu kalelewa na Mbowe akiwa hajulikani, leo anamuona Mbowe kama hana maana kabisa, Lissu hana shukrani kabisa sio mtu wa kufanyiwa hisani.
Shukrani yake anatakiwa afanyaje, akae nje ya kiti cha Mwenyekiti?
 
Jamaa unakatwa na nani wewe?
 
Rais ni mmoja tu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. ambaye ndiye amekula kiapo cha Urais
Nani alikulipia nauli ya kwenda Dodoma juzi. Nasikia baada ya kulia Sana memba mmoja wa hapa JF (jina kampuni) alikupa hela iliyotosha kwa nauli tu ukaamua kutembea kwa miguu kuelekea Dodoma huku ukiitumia ile hela ya nauli kupata chochote kitu nniani.
 
Naona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe
 
basi wakufanyie mpango upate mbolea za ruzuku bure ,wakupatie na matrekta na mbegu za kisasa kutokana na juhudi zako zilizopitiliza za kumsifia Rais Samia na chama chake.
Mama anatoa na kutupatia mbolea za Ruzuku wakulima wote Nchini
 
Mama kakufikia wewe tahira, una maisha magumu na jinga pia. Anza kujiandaa mwenyezi mungu ameshaanza kuchukua majinga kama wewe na wewe utachukuliwa hivi karibuni. Mzazi wako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Hiyo picha imetengenezwa, "Photoshop". Ili kujua angalia mkao wa picha wa Wasira, Lissu, anayefuata na Mbowe: hawakuwa sehemu ya hiyo picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…