Kichwani ni sifuri kabisaHili jamaa qualification pekee aliyonayo ni kuwa mtoto wa baba yake.
Ni bonge moja la bogus kiasi kwamba hata huko kutukana anakodhani anafanya twitter ni pumba tu zinazofichua umbumbumbu wake.
🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐🧐🥶🥶🥶🥶🥶🥶🥶🥶🥶🤑
Hakuna mzigo hapo zaidi ya Chuki ,mtajisemesha wewe ila hao wapo Hadi 2030.
😆😁😁😁😁😁
Aisee1. Jizi lisilokuwa na maarifa aka mzalendo feki.
2. Kubwa jinga lisilo na maarifa aka bwakubwaku.
3. Jambazi lisilotumia maarifa linalodhani uraisi ni haki yake ya kuzaliwa aka Mr. Gundu, anachukiwa hata na nzi.
HatarMwenye Enzi Mungu tuokoe maana tuna angamia uwiiii
MAMA TANZANIA [emoji1241]
3 mzukaHahaaaa... Hizi njemba kweli unakosa cha kusema juu yao.
KabisaHivi JPM si aliwakataa hawa! au nimesahau?
DuhSiku ambayo mzee Makamba sr alipomuweka mwanae viboko pala Assembly enzi zile za Secondary nkajua kabisa mhuni wetu J atakuwa msumbufu sana katika maisha yake na ipo siku watu watamchoka😂
😯😯😯Kumbe ni lidebe tupu.
Haya bhanaHakuna mzigo hapo zaidi ya Chuki ,mtajisemesha wewe ila hao wapo Hadi 2030.
Tayari wameshawazidi Kisiasa kilichobakia ni majungu na kujifariji tuu.
Uhuru na Kibaki walipoona Kanu itafia mikononi mwao wakakimbia kuanzisha chama kipya Kanu wakaiacha ikafia mikononi mwa familia ya Moi
🤣🤣