Hii post ya OMMY DIMPOZ haileti picha nzuri kwa jamii !!!

Hii post ya OMMY DIMPOZ haileti picha nzuri kwa jamii !!!

Nakusikitikia wewe kama umewai kuhisi kuwa Ommy Dimpoz ana akili sawasawa. Niliwai sema na nitaendelea kusema, hawa wanaoitwa mastaa wa bongo wangekuwa raia wa nchi zilizoendelea kwenye matibabu ya kisaikolojia wengi wao wangekuwa ICU wanapata matibabu ya karibu chini ya uangalizi wa madaktari bingwa.
Duuh.. nakubal mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu utajuaje labda anatangaza biashara ya hizo product mbili na hueanda akawa analipwa vilevile

Sent using Jamii Forums mobile app
ukiwa balozi wa brand lazma utambulishwe kwenye jamii

mf mond alvokua coca
kiba ishu za wanyama
mdee alikua baloz wa samsun kama sikosei

ubalozi ni marketin strategy uwez kumchagua balozi then msi mpromote eti apige kaz kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu imewauma sana iyo kitu .... iyo ni kwa wale wote wapenda kitonga mterezo ndo dawa yao sijaona cha ajabu hapo
 
Ukitaja hiyo simu ww njoo ila ukifika utapakwa hayo mafuta mkunduni then unaliwa tigo then unapewa iyo simu.
 
Mi nimeelewa kuwa anatafuta wa lumpaka mafuta ili ampe simu. Ukute kashazoea kupakwa mafuta huyu
 
Omari Nyembo at his highest level of stupidity..

Kupima mkojo na uchochezi wapi na wapi??
 
Kwa maana hiyo huyu dogo sio riziki kama wanavyodai hivyo anatafuta wa kumpa Huduma amlipe iPhone, hii laana Mungu atuhurumie na kutusaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom