NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
CCM CHADEMA cuf @NCCR wekeni na nyinyi safu zenu za uongozi tuzione hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu;Niliwahi kuhudhuria mkutanowa chama kimoja cha siasa wakati kwa mara ya kwanza proph. Ndio mgombea wa hicho chama , wafuasi wote walikuwa wameka chinii na akiongea pointi mmoja anatamka neno fulani ambalo hutamkwa kwenye dini pale linapoongewa neno la kuwafurahisha kisha wote wanajibu wa sauti....... baadaye proph alipambana ikashindikana na nilimwona amealikwa siku moja kwenye nyumba moja ya ibada kwa mbwembwe kuu.... he!!!!!!!!!!!!!!!!!!! sasa wale wafuasiwake mbona tena wamegeuza uelekeo? .... kuna wengine waligawanyika kwenda na yule mwenye nywele sasa vipi... hakieleweki
Wagalatia ni kina nani?Zinafanana na hiyo tofauti ni kuwa kule wamejaa wagalatia watupu!
Wewe nawe!
Kwani kuna chama cha siasa nchini ambacho kina viongozi sio watanzania?
Wapendwa!Wagalatia ni kina nani?
Yale ya cuf yanajirudiaNimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Hao hawako tayati kuchukua dola wanasindikiza chama tawalaTuwekee ya Nccr mageuzi na ya TLP!
Kwani ACT na Nccr wana tofauti gani?!Hao hawako tayati kuchukua dola wanasindikiza chama tawala
Mkuu;Duh Zitto kazidiwa ujanja
Kweli zito anakosa ushawishi wa makundi mengine? sasa atachukuaje dola, alafu kuna manjinga yanamlinganisha na Mbowe.Sasa kama hawakupatikana wagombea zaidi ya hao ulitaka wafanyeje?!
Au wakaokote watu mtaani ili tu wakuridhishe wewe!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka niwe muwazi kwa kiwango kipi wakati nimekuwa muwazi wa kuweka safu nzima ya uongozi wa Juu wa ACT-Wazalendo!Unataka kusema A. C. T ni chama waislamu na chadema ni SACCOS YA KICHAGGA.
KUWA MUWAZI ACHA MAFUMBO.
Kama jinalako lilivyoo.
Mgalatia ni nani? Nielimishe!Kwenye Idara ya Mambo ya Nje wamempachika mgalatia mmoja, duh.
Tunaposema zito haaminiki nadhani tumeeleweka, hana watu wa kuaminika anatumia ujanja ujanja tu. Ili malengo yake yatimieNdo maana CCM itaendelea kuongoza tu miaka na miaka. Upinzani wamezidiwa sana kimkakati hadi wanakatisha tamaa.
Duh!Uzi wa namna hii ndio upuuzi ambao CCM wanawapiga mabahoooo miaka yooote.
Hebu niwekee safu ya chademaNimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Huyo jamaa Boniface.Mgalatia ni nani?...