Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Ila nakumbuka hichi chama cha Muslim Brotherhood cha kule misri kilikuja kutangazwa ni chama cha kigaidi na kilifutiliwa mbali na wanachama wake walikamatwa kwa kujihusisha na ugaidi.
Kama upo huko kwenye hicho chama toka na ukimbie sana, ohooo
 
Ila nakumbuka hichi chama cha Muslim Brotherhood cha kule misri kilikuja kutangazwa ni chama cha kigaidi na kilifutiliwa mbali na wanachama wake walikamatwa kwa kujihusisha na ugaidi.
Kama upo huko kwenye hicho chama toka na ukimbie sana, ohooo
Tunazungumzia siasa za Tanzania usilete usukule wako kutupeleka misri dada
Hata Mandela walimuita gaidi
 
Dini gani zimebalance CCM?
Kwani Tanzania kuna dini ngapi zilizo na waumini wengi?

Je ukianzia kwa mwenyekiti, makamu wa mwenyekiti wawili, karibu mkuu, na naibu katibu wakuu wawili, viongozi wa sekretariati, wenyeviti wa mikoa na makatibu wao mikoa. Angalia CC na NEC agalia uone kama kuna upendeleo wa kidini, kikabila au kikabnda.
 
Nimejikuta naikumbuka NSSF ya Dr. Ramadhan Dau
Mimi nimejikuta nakumbuka mashambulizi ya CCM dhidi ya CHADEMA enzi zile. UKRISTO. enzi hizo Willbrod Slaa akiitwa Padri Slaa, ili kuweka msisitizo. Kuna wakati pia familia ya Slaa ilikuwa ishu. Pia kulikuwa na UCHAGA, UKASKAZINI, nk. Zote zilikuwa "siasa", ambazo mara nyingi huelekezwa kwa kwa chama cha UPINZANI kinachoinukia.

Ndio maana kuna mtu kaomba uchambuzi kama huo ufanyike pia kwa vyama "vidogo".
 
Kwani Tanzania kuna dini ngapi zilizo na waumini wengi?

Je ukianzia kwa mwenyekiti, makamu wa mwenyekiti wawili, karibu mkuu, na naibu katibu wakuu wawili, viongozi wa sekretariati, wenyeviti wa mikoa na makatibu wao mikoa. Angalia CC na NEC agalia uone kama kuna upendeleo wa kidini, kikabila au kikabnda.
Iweke hiyo safu ya uongozi tuione wenyewe, usituletee maneno mingi unasound kama wale jamaa wa tuma elfu 5 nikuunge group la xxxxx
 
Iweke hiyo safu ya uongozi tuione wenyewe, usituletee maneno mingi unasound kama wale jamaa wa tuma elfu 5 nikuunge group la xxxxx

Hiyo ni homework yako, msipende kutafuniwa kila kitu.
 
Tatizo ni mkiwa nusu kwa nusu mkiungana na Wazanzibar lazima muone mnavyoona na ukichanganya na ISLAMOPHOBIA ndio balaa huenda na vyama vingine vipo hivyohivyo kwa upande wa dini zingine.
 
Hiki chama nimejaribu kukielewa kwa miaka kadhaa, nikiri wazi kwamba nimekishindwa. Labda akili na macho yangu yana matatizo.
Mkuu;
Usikate tamaa, jitahidi labda huko baadaye utakielewa vizuri!
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Mbona kama safu ya uongozi wa taasisi ya kidini?

Hivi ACT hakuna wakristo huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuhudhuria mkutanowa chama kimoja cha siasa wakati kwa mara ya kwanza proph. Ndio mgombea wa hicho chama , wafuasi wote walikuwa wameka chinii na akiongea pointi mmoja anatamka neno fulani ambalo hutamkwa kwenye dini pale linapoongewa neno la kuwafurahisha kisha wote wanajibu wa sauti....... baadaye proph alipambana ikashindikana na nilimwona amealikwa siku moja kwenye nyumba moja ya ibada kwa mbwembwe kuu.... he!!!!!!!!!!!!!!!!!!! sasa wale wafuasiwake mbona tena wamegeuza uelekeo? .... kuna wengine waligawanyika kwenda na yule mwenye nywele sasa vipi... hakieleweki
Tatizo makanisa mengi siku hizi mafundisho yao makuu ni umbea,majungu na chuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom