Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Duh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ni uongozi wa Madrasa au chama cha siasa cha kitaifa
USSR
Hebu mtag zitto atupe ufafanuzi zaidiKwenye Idara ya Mambo ya Nje wamempachika mgalatia mmoja, duh.
Mkuu hawafanyi hivyo kwa bahati mbaya, wana malengo yao nyuma ya pazia.H
Tageti ya Vyama vyetu hivi... Kiukweli kabisa hapo tu ndo wanapofeli, mikakati Yao ni mizuri mno sijui Kwa nini vinajikuta vimeanza kufeli Kabla ya mechi,
Sio ccm. Hao ni bavichaCcm hii tabia yenu ya kuwavalisha wenzenu makoti ya udini na ukabila ili kuwachafua na kuwagawa sio afya kwa ustawi wa demokrasia nchini na inavuruga umoja,amani na utulivu uliopo nchini.
Kule kwenye Imani nyingine W ametulizana mahala fulani hivyo kaangukia pua na kwa ninavyoifahamu itaumuka balaaaIdea ya yule kijana ilikuwa ni kushika ngome ya waumini fulani, halafu atumie kila hila kuunganisha ngome ya imani nyingine ili kukibwaga chama tawala. Lakini hiyo idea imekuwa nzuri kwenye ndoto tu, kuliko kwenye uhalisia wa siasa za nchi hii.
Hebu weka viongozi wa chadema hapaHuu ni uongozi wa Madrasa au chama cha siasa cha kitaifa
USSR
Chama chake kispofanya vizuri katika uchaguzi huu tunaouendea itakuwa ni mwisho wa chama hicho mkuuKama kuna mwanasiasa atakaekuja kuisha haraka ni zzk.
DahACT ni kama ball boys tu wametinga jezi na njumu kali halafu kazi yao ni kuokota mipira tu