Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;

1.Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli

2.Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula

3.Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein

4.Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally

5.Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo

6.Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi

7.Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole

8.Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter

9.Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James

10.Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond

11.Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga

12.Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule

13.Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa

14.Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka

Uongozi wa CCM wakiristo >>>> 78.9%
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Uongozi wa ACT Wazalendo
Waislamu >>>>> 79%
 
Alif, beer, teee, jimmmm!
Hao ndo watanzania,tulivyo hatubaguani,tunaingia kwenye vyama vya siasa kwa hiari.
Hutaki Alif Bee Tee neda CCM ( Bwana asifiwe sana) chaguo ni lako.
sisi ni Taifa moja tuna uhuru wa kuchagua chama tukipendacho.
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Udini

Udini

Udini

Udini
 
Nabii adamu mpaka nabii mohamed wote walikuwa waislamu manabii wote walikuwa waislamu sio wakristo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikukumbushe tu, uislam hauna miaka hata 1500, wakati sasa hivi ni mwaka 2020; ukibisha, nenda kwenye kalenda yoyote ya kiislam then angalia hu ni mwaka gani kwa mujibu wa kalenda yao. Usilete habari za kwenye kahawa.
Binafsi sina tatizo na hiyo list but nimestushwa na upotoshwaji wako
 
Naomba nikukumbushe tu, uislam hauna miaka hata 1500, wakati sasa hivi ni mwaka 2020; ukibisha, nenda kwenye kalenda yoyote ya kiislam then angalia hu ni mwaka gani kwa mujibu wa kalenda yao. Usilete habari za kwenye kahawa.
Binafsi sina tatizo na hiyo list but nimestushwa na upotoshwaji wako
Hawa wengi wao elimu ya dunia imewapitia kushoto
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Duuh! Chama cha mtume mhamad [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka ya NCCR Mageuzi na TLP kwanza

Ngoja nikusaidie ya Chadema

1. Mwenyekiti - Freeman Aikael Mbowe
2. Makamu Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
3. Katibu mkuu - John Mnyika
4. Naibu katibu mkuu Bara - Benson Kigaila
5.Naibu Katibu mkuu zenji - Salum Mwalimu
6. Mwenyekiti Bavicha - John Pambalu

Viongozi wa Kanda
1. Peter Msigwa - Nyasa
2. Ezekia Wenje - Victoria
3. Godbless Lema - Kaskazini
4. Lazaro Nyalandu - Kati

Msemaji
John Mrema
Mkuu nimegundua kwamba hawa wenzetu hawana CHUKI bali WANATUOGOPA, waambie wapitie Baraza la Mawaziri, Wakuu wa Wilaya, Mikoa, Wakurugenzi, Wakuu wa Idara Vitengo kisha waje wajenge hoja hapa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom