Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Mkuu nimegundua kwamba hawa wenzetu hawana CHUKI bali WANATUOGOPA, waambie wapitie Baraza la Mawaziri, Wakuu wa Wilaya, Mikoa, Wakurugenzi, Wakuu wa Idara Vitengo kisha waje wajenge hoja hapa...

Sent using Jamii Forums mobile app

Uoga uliochanganyika na chuki, choyo, ubonafsi na roho mbaya

Magufuli kateua zaidi ya 90% ya Teuzi zake zote wakiristo lakini you will never hear them saying anything.

Ukiwagusa wao husema kuwa "Hateuliwi mtu kwa dini yake bali vigezo"
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
1585818756743.png
1585818756743.png
 
Hao ndo watanzania,tulivyo hatubaguani,tunaingia kwenye vyama vya siasa kwa hiari.
Hutaki Alif Bee Tee neda CCM ( Bwana asifiwe sana) chaguo ni lako.
sisi ni Taifa moja tuna uhuru wa kuchagua chama tukipendacho.
Mbona povu, umelazimishwa?
 
Mkuu nimegundua kwamba hawa wenzetu hawana CHUKI bali WANATUOGOPA, waambie wapitie Baraza la Mawaziri, Wakuu wa Wilaya, Mikoa, Wakurugenzi, Wakuu wa Idara Vitengo kisha waje wajenge hoja hapa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hapa umezingumzia vitu viwili tofauti,

Hapa tunaangalia namna Chama kinvyopaswa kiwe na Sura ya kitaifa, uliko kutaja huko kuna watumishi wengine waliteuliwa wakitokea Vyama vingine, maana yake ni kwamba unazungumzia uendeshwaji wa Serikali na Sio muundo wa chama

Hili nalo labda lianzishiwe nyuzi yake,
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Udini haitaiacha Salama ACT wazalendo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Udini?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hii safu ya Uongozi Wamejazana Wavaa Vipedo na Wafuga majini, Zitto ajipange bana
 
Kwa Unafiki na Upuuzi uilioko huko Upinzani sioni aibu wala uwoga kusema kwamba kuna uwezekano CCM ikatawala mpaka pale Yesu Kristo atakapokuja tena au Dunia ikipinduka. Udhaifu na Uzandiki wa Wapinzani nchini Tanzania ndiyo Mafanikio ya Kudumu ya CCM. Kama kuna Wapinzani watakuja Kuitawala Tanzania basi labda ni baada ya Miaka Elfu Hamsini ( 50,000 ) ijayo.
Hii orodha imenipa maswali mengi sana!
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Na hapa ndio shida ya wana CCM inapokuja, huwa mnashindwa kuwa wakweli mnaongozwa na propaganda.

Ni hivi Zanzibar 99% ni waislam hivyo ikitokea umeweka viongozi kwa kubalance bara na visiwani ni obvious waislam watakuwa wengi tu hata bunge la katiba waislam walikua zaidi ya 50% sababu wote kutoka zenji walikua waislam.

Kingine husemi naibu katibu mkuu bara ni JORAM.... Husemi makamu wa maalim ni DOROTHY ila umewaruka kwa maksudi ili ujengee hoja yako.

Magufuli alipoteua wakristo na kada ya ziwa wengi zaidi kuliko awamu yeyote mlisema anaangalia utendaji sio dini ila inapotokea zitto akaweka wazanzibar wengi sababu ya utendaji wao (Ndio sehemu yenye upinzani imara Tanzania) wewe umeangalia udini pekee.

Ni hivi hao hawajateuliwa ni kura zimepigwa ina maana vigezo, shida inakuja huna vigezo ila unateuliwa sababu ya dini. Hapo ndio hoja ya udini inakua na msingi.

Kiufupi nlidhani wewe ndio mwana CCM walau uliye na hoja za mashiko humu jukwaani ila kuanzia leo nimekudharau rasmi.
 
Mkuu, hapa umezingumzia vitu viwili tofauti,

Hapa tunaangalia namna Chama kinvyopaswa kiwe na Sura ya kitaifa, uliko kutaja huko kuna watumishi wengine waliteuliwa wakitokea Vyama vingine, maana yake ni kwamba unazungumzia uendeshwaji wa Serikali na Sio muundo wa chama

Hili nalo labda lianzishiwe nyuzi yake,
Nitajie hicho chenye sura ya kitaifa tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimejikuta nakumbuka mashambulizi ya CCM dhidi ya CHADEMA enzi zile. UKRISTO. enzi hizo Willbrod Slaa akiitwa Padri Slaa, ili kuweka msisitizo. Kuna wakati pia familia ya Slaa ilikuwa ishu. Pia kulikuwa na UCHAGA, UKASKAZINI, nk. Zote zilikuwa "siasa", ambazo mara nyingi huelekezwa kwa kwa chama cha UPINZANI kinachoinukia.

Ndio maana kuna mtu kaomba uchambuzi kama huo ufanyike pia kwa vyama "vidogo".
Mnataka kushika dola halafu mnajitetea kuwa makosa yenu wengi wameshayafanya? You must be kidding!
 
Back
Top Bottom