Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Zitto si bora afungue tu msikiti ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongozi Huu unakusanya nauli za kwenda wapi? Uongozi wa CCM wakiristo >>>> 78.9%
ikiwa huu ni makka?
Uongozi wa ACT Wazalendo Waislamu >>>>> 79%


Uongozi wa ACT Wazalendo
Waislamu >>>>> 79%

Waislamu wana akili finyu sana Zitto mnakwama wapi?

Sent using COVID-19
UMEJIFUNZIA WAPI KUTUKANA WATU KWA MUJIBU WA DINI YAO?
Maana,huna sababu ya kuita watu kuwa na akili finyu, eleza basi kwa lipi akili zetu ni finyu?
Mana tunagusagwa na Tuhuma yako hiyo.
 
Alisema Babu yakua "akitokea mtu akawa anakuzidi kwa kila kitu lakini bado anakuchukia, huyo hakuchukii bali anakuogopa kwakua anaona uwezo wako ambao yeye anautamani lakini hawezi kuupata"

Pumzika kwa amani BABU yangu ulitizama mbali sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Babu yako alikueleza maelezo ambayo yanapingana yenyewe!

Yaani mtu anakuzidi kila kitu halafu eti tena akuogope kwa sababu una uwezo anautamani! Ni sawa na kusema mtu tajiri lakini anautamani umasikini wako!

You must be out of your mind!
 
Propaganda za CUF mmehamishia ACT, ili kuwakosesha imani mbele ya Watanzania...

Vipi za Chadema mtakuja nazo zilezile, Ukanda,Ukabila,Udini, Sacos ya Familia?

Bahati mbaya hizi propaganda zinawaingia sana Watanzania.

Hata ukiangalia humu WanaJF wengi wamenasa kwenye propaganda zako...

Sema Chadema wanazifurahia sana hizi propaganda maana nao hawataki kuona ACT kikiwa chama kikuu Cha upinzani Tanzania.
 
Zito badilisha taswira ya chama chako ....
hasa kwenye uongozi....
tunataka kuwaona watu kama kina John Martin,
Samwel Jackson, Eliud Albert.....
Mkuu;
Inawezekana hana hao watu uliowataja majina!

Kumbuka mkulima anaenda shambani na jembe alilonalo!
 
Weka ya NCCR Mageuzi na TLP kwanza

Ngoja nikusaidie ya Chadema

1. Mwenyekiti - Freeman Aikael Mbowe
2. Makamu Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
3. Katibu mkuu - John Mnyika
4. Naibu katibu mkuu Bara - Benson Kigaila
5.Naibu Katibu mkuu zenji - Salum Mwalimu
6. Mwenyekiti Bavicha - John Pambalu

Viongozi wa Kanda
1. Peter Msigwa - Nyasa
2. Ezekia Wenje - Victoria
3. Godbless Lema - Kaskazini
4. Lazaro Nyalandu - Kati

Msemaji
John Mrema
Mkuu;
Orodha ya viongozi wa CHADEMA ina uhusiano gani na viongozi wa ACT-Wazalendo!
 
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!

Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!

Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif

Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani

Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.

Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:

Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga

Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo

Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud

Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani

Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe

Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo

Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid

Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande

Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor

Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda

Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.

Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Tuwekee ya CCM
 
Mnataka kushika dola halafu mnajitetea kuwa makosa yenu wengi wameshayafanya? You must be kidding!
Naona hukunielewa. Nilimaaanisha kwamba hizi siyo tuhuma mpya, bali ni propaganda za CCM za tangu enzi na enzi. Kwamba huwa zinaelekezwa kwa chama ambacho kinaonekana ni tishio kwa CCM.

Sio siri kwamba baada ya Maalim Seif kujiunga na ACT, tayari ACT kimekuwa chama kikubwa cha upinzani, Tanzania bara, na ndio chama kinara huko visiwani, ukiondoa dola kuibeba CCM.

Kwamba kwa sababu CCM wanafanya huo upuuzi, basi na wengine watafanya wakishika madaraka, hiyo wala si kauli yangu
 
Naona hukunielewa. Nilimaaanisha kwamba hizi siyo tuhuma mpya, bali ni propaganda za CCM za tangu enzi na enzi. Kwamba huwa zinaelekezwa kwa chama ambacho kinaonekana ni tishio kwa CCM.

Sio siri kwamba baada ya Maalim Seif kujiunga na ACT, tayari ACT kimekuwa chama kikubwa cha upinzani, Tanzania bara, na ndio chama kinara huko visiwani, ukiondoa dola kuibeba CCM.

Kwamba kwa sababu CCM wanafanya huo upuuzi, basi na wengine watafanya wakishika madaraka, hiyo wala si kauli yangu
Unaweza kuona ni propaganda lakini kuna wengi hawaoni hivyo. Ni kweli siyo tuhuma mpya lakini bado zina uzito. Chama cha CUF kabla ya kujiunga na UKAWA kilivutia sana waislam. Na siyo propaganda ila ndiyo ukweli wenyewe. ATC wazalendo nayo kiongozi wao Zitto ni mtu mwenye udini sana japo anafanya kwa kisiri. Mashabiki wa ATC wanaweza wakasema ni propaganda lakini kuna watu wengi wanaona ukweli fulani kwenye tuhuma.
 
Unaweza kuona ni propaganda lakini kuna wengi hawaoni hivyo. Ni kweli siyo tuhuma mpya lakini bado zina uzito. Chama cha CUF kabla ya kujiunga na UKAWA kilivutia sana waislam. Na siyo propaganda ila ndiyo ukweli wenyewe. ATC wazalendo nayo kiongozi wao Zitto ni mtu mwenye udini sana japo anafanya kwa kisiri. Mashabiki wa ATC wanaweza wakasema ni propaganda lakini kuna watu wengi wanaona ukweli fulani kwenye tuhuma.

Suala la kuangalia majina ya watu limezungumzwa miaka mingi na watanzania. Ni suala ambalo wakoloni walilitumia kutugawa ili watutawale

Changamoto inakuja kuwa wakati tabaka moja likitahadharisha tabaka jengine linajimwambafai kuwa nyie hamjasoma.

Lkn hao wasiosoma wakijipanga wale wanaanza kusema ' mnaleta udini' mnataka kuleta wenye ndevu ndefu kutawala.

Sasa mimi nadhani hayo mtayaona kwa kila chama yapo na kubwa tunalopaswa kuangalia na kujitofautisha ni kifalsafa za vyama hivyo.

Na moja ya falsafa kubwa ya vyama vyetu Tz ni kama ifuatavyo;-

Ccm, act, cuf ni vyama vya kikumunist na kilibelari.

Misingi ya vyama hivi mikuu

1. Kutoamini mungu - Secularism State
2. Ndoa za jinsia moja.

Sasa whether wana kubaliana na na kupractice falsafa hizo au laa, kitendo cha kuwa kwenye mrengo huo ni laana. Na ni Ukafiri.


Kwa upande wa pili wa shilingi falsafa ya chadema ni demokrasia yenye kulinda misingi ya kifamilia. Kukubali tofauti tulizonazo za kidini, kikabila na jinsia nk na kuzijuisha zote - Devercity State

Cdm inaamini ktk Demokrasia ya wengi wape na waache wajiamulie mambo yao. Kama act wanataka kuungana na wafuga ndevu waache wafanye hivyo, kama wanataka kukataza kuuza pombe, kamari na uzinzi hadharanj iwe sehemu ya sheria hao na sio lockdown au curfew waachwe wafanye hivyo ilimradi na wale wenye ustaarabu tofauti na huo wakiona uzito watatafuta jimbo litakaloruhusu mambo hayo.

Na ndio maana CDM inahimiza serikali ya majimbo. Ili tusiogopane, na kila raia akaishi jimbo lenye ustaarabu unaofata. Kama nilivyoona kule mufindi nguruwe zinambea tu mitaani, basi wanaoamini ustaarabu huo wataenda kuishi jumbo litakalounganishwa na mufindi.

Kwani Suala la kuangalia majina ya watu linawatisha wengi, ukiangalia sasa safu ya wizara na taasisi zake utakuja kuona 80% ni wa dhehebu moja. Ndio utajiuliza kuna shughuli gani za kitume zinaendelea humo, na kwanini walio nje ya dhehebu hilo ndio wenye manung'uniko zaidi. Hivyo ili tujiepushe na kasumba hizi za kikoloni suala ya kwanza la kulikimbilia ni serikali ya majimbo.
 
Back
Top Bottom