Unaweza kuona ni propaganda lakini kuna wengi hawaoni hivyo. Ni kweli siyo tuhuma mpya lakini bado zina uzito. Chama cha CUF kabla ya kujiunga na UKAWA kilivutia sana waislam. Na siyo propaganda ila ndiyo ukweli wenyewe. ATC wazalendo nayo kiongozi wao Zitto ni mtu mwenye udini sana japo anafanya kwa kisiri. Mashabiki wa ATC wanaweza wakasema ni propaganda lakini kuna watu wengi wanaona ukweli fulani kwenye tuhuma.
Suala la kuangalia majina ya watu limezungumzwa miaka mingi na watanzania. Ni suala ambalo wakoloni walilitumia kutugawa ili watutawale
Changamoto inakuja kuwa wakati tabaka moja likitahadharisha tabaka jengine linajimwambafai kuwa nyie hamjasoma.
Lkn hao wasiosoma wakijipanga wale wanaanza kusema ' mnaleta udini' mnataka kuleta wenye ndevu ndefu kutawala.
Sasa mimi nadhani hayo mtayaona kwa kila chama yapo na kubwa tunalopaswa kuangalia na kujitofautisha ni kifalsafa za vyama hivyo.
Na moja ya falsafa kubwa ya vyama vyetu Tz ni kama ifuatavyo;-
Ccm, act, cuf ni vyama vya kikumunist na kilibelari.
Misingi ya vyama hivi mikuu
1. Kutoamini mungu - Secularism State
2. Ndoa za jinsia moja.
Sasa whether wana kubaliana na na kupractice falsafa hizo au laa, kitendo cha kuwa kwenye mrengo huo ni laana. Na ni Ukafiri.
Kwa upande wa pili wa shilingi falsafa ya chadema ni demokrasia yenye kulinda misingi ya kifamilia. Kukubali tofauti tulizonazo za kidini, kikabila na jinsia nk na kuzijuisha zote - Devercity State
Cdm inaamini ktk Demokrasia ya wengi wape na waache wajiamulie mambo yao. Kama act wanataka kuungana na wafuga ndevu waache wafanye hivyo, kama wanataka kukataza kuuza pombe, kamari na uzinzi hadharanj iwe sehemu ya sheria hao na sio lockdown au curfew waachwe wafanye hivyo ilimradi na wale wenye ustaarabu tofauti na huo wakiona uzito watatafuta jimbo litakaloruhusu mambo hayo.
Na ndio maana CDM inahimiza serikali ya majimbo. Ili tusiogopane, na kila raia akaishi jimbo lenye ustaarabu unaofata. Kama nilivyoona kule mufindi nguruwe zinambea tu mitaani, basi wanaoamini ustaarabu huo wataenda kuishi jumbo litakalounganishwa na mufindi.
Kwani Suala la kuangalia majina ya watu linawatisha wengi, ukiangalia sasa safu ya wizara na taasisi zake utakuja kuona 80% ni wa dhehebu moja. Ndio utajiuliza kuna shughuli gani za kitume zinaendelea humo, na kwanini walio nje ya dhehebu hilo ndio wenye manung'uniko zaidi. Hivyo ili tujiepushe na kasumba hizi za kikoloni suala ya kwanza la kulikimbilia ni serikali ya majimbo.