Yamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea!
Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!
Nimekasirika kweli!
Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!
Nimekasirika kweli!