Hii sasa dharau, yaani mimi wa kunialika mahafali ya mtoto wa chekechea? Kweli?

Hii sasa dharau, yaani mimi wa kunialika mahafali ya mtoto wa chekechea? Kweli?

Huu ujinga ndo maana tunashindwa hata kuwa inventive,angekuwa amebuni mbinu ya kutengeneza umeme kwa kutumia matawi ya miti hapo ikulu popo ingekuwa mashiko,wtz ni hope the opposite
Yaani acha tu
 
Kuna mjeda aliefukuzwa Kazi kafanya harusi ya m26,mimi hapo nikatamani nione fuso Barabarani,ila haya maisha ya foma ya ajabu sana
Sawa kabisa, si kwa kufuru kama hiyo!
 
Back
Top Bottom