- Thread starter
- #81
SafiNimenuniwa na Shoga angu kisa sikwenda kwenye Graduu ya Mtoto wake alimaliza Chekechea,
Na mie namwambia nuna upasuke sikua na muda wa kupoteza [emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SafiNimenuniwa na Shoga angu kisa sikwenda kwenye Graduu ya Mtoto wake alimaliza Chekechea,
Na mie namwambia nuna upasuke sikua na muda wa kupoteza [emoji57]
We ndo walewale......Kata kipande cha sabuni kisindikize na coca bariiiid ili povu lake lifunike jukwaa
Yaani acha tuHuu ujinga ndo maana tunashindwa hata kuwa inventive,angekuwa amebuni mbinu ya kutengeneza umeme kwa kutumia matawi ya miti hapo ikulu popo ingekuwa mashiko,wtz ni hope the opposite
Sawa kabisa, si kwa kufuru kama hiyo!Kuna mjeda aliefukuzwa Kazi kafanya harusi ya m26,mimi hapo nikatamani nione fuso Barabarani,ila haya maisha ya foma ya ajabu sana
HakikaWe ndo walewale......