- Thread starter
- #61
Wanakera sana!Siku mm nilialikwa birthday ya toto dogo hata lijuwi nn kinaendelea ila Eti na ratiba imewekwa kabisa kama sherehe ya harusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakera sana!Siku mm nilialikwa birthday ya toto dogo hata lijuwi nn kinaendelea ila Eti na ratiba imewekwa kabisa kama sherehe ya harusi.
Unafikiri hata hii nilienda basi?!!!![emoji28][emoji28][emoji28]pole mkuu next tym usiende kama hutaki kushiriki
Zawadi?!!! ThubutuuuuHasira zikiisha uje utuambie uyo dogo umempelekea zawad gan?!!
Sana, sijui kwanini?Wanawake wanapenda mashindano sana yaani kitu akifanya mwenzake na yeye lazima aige.
Safi kabisaMimi kwangu sherehe ni upumbavu kwani HATA HARUSI YA KAKA YANGU WA DAMU SIKWENDA leo naambiwa mchango wa get together kazini nikitoa waniite mbwa
Nilivyoelewa ni kuwa hukuelewa kihiiivyo!Miye leo pia nilikuwa huko kwenye Graduatio aaah bwana kila zama na kitabu chake.
Kuna hata wababa wanapenda hayo mambo.Wanawake wanapenda mashindano sana yaani kitu akifanya mwenzake na yeye lazima aige.
Kabisa aisee, atakupelesha haswaaNa Mwanaume ukiwa mzembe ndiyo atakupelekesha Kama gari bovu! Wanawake Mungu anawaona lakini!!
Safi kabisaKuna mwingine kafanya birthday yake katumia milion 2, juzi anaomba nimkopeshe hela , nilimchora tu nikamwambia hela yangu ina matumizi muhimu
Ndiyo ninae, unataka kusemaje?Una mtoto?
Sijaumizwa na haitotokea niumizwe na vitu vya watu kama hivyo, kama ni muelewa, utaona kuwa kilichoniumiza ni kualikwa....kuhusishwa.Ukiona starehe ya mwenzio ya mwenzio inakuumiza ujuwe kuna tatizo sehemu
Sawa!Mda mwengine tujifunze kuthamini furaha za wenzetu. Kuna watu wako hivi.
Let’s say Ni jirani, unaweza kusema usimualike labda hapendi shughuli za watoto napo atasema huyu anatutafuta kipindi cha misiba tu kwenye raha walaa.
Mwengine huyo ni mtoto wake wa kwanza tena ukute kampata kwa shida. Acha afurahie kama amekukwaza msamehe. Hata wewe una vitu vyako unavipenda watu wanakuona wa ajabu.
Nimejifunza kumbe bado sijajua kuishi na watu😂 binadamu sijui hata umshirikishe nini aridhike😂 sasa akiwa na birthday utaalikika kweli?
Alafu kingine. Yeye amemfanyia mwanae mahafali ili kum encourage kwamba kila hatua ikipita tutakupongeza. Wanadamu mna roho gani.
Ndiyo ninae, unataka kusemaje?
Hapo sasa!Level yao hiyo..!!! Unataka wa la saba B naye asifanye sherehe ya graduation kisa hajui calculus?
Safi kabisaWe acha tu hapa na mtazama wife anavoshupaza shingo kuhusu hako graduation ka mtoto na huu mwisho wa mwaka .nime mwambia nikikupa hii pesa basi siku kuu utakula ugali
Kata kipande cha sabuni kisindikize na coca bariiiid ili povu lake lifunike jukwaaYamenikuta jana asubuhi, mpaka sasa sijakaa sawa kwa fikra na hasira. Yaani na ugumu huu wa maisha, upandaji huu wa bei, bado mgao wa umeme na maji na ukaribu wa kufunguliwa kwa mashule eti mtu anakuja kukualika mahafali ya mtoto wake, eti anamaliza chekechea!
Hivi chekechea mtoto anahitaji hongera ya nini kama sio kumuingizia pepo la kupenda kurukaruka ukubwani!
Nimekasirika kweli!
Na hili ndo lengo kuuWanataka uende na zawadi
Chekechea imezidi nduguHuyu bwana NIMEONA aseme tu kama hana hela, na hasira za kukosa hela anajidai zimetokana na kualikwa kwenye sherehe ya mwanachekechea kumaliza uchekechea wake..!! Hivi ingekuwa yanafanyika hayo, si tungekuwa wote tunasubiria ile degree ya mwisho ndo tufanye sherehe..!!??? Maana kila level kuna ya juu yake ambayo ina mambo yasiyopatikana kwenye hii ya chini..!!