chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
kwa siku mtu anaingiza bil moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unacho ongea ni tofauti na nnacho maanisha point yangu hao warabu wanatumia vibaya pesa za mafuta hata huko Saudia wachezaji wana kaa bench labda kama hua wanaingia 11 bila reserveHao wa Europe ndio wanaharibu mpira kwa kuchukua wachezaji South America na kuwaweka bench Europe ili Ligi zao ziendelee kutawala Dunia,European clubs do it to South American clubs all the time,hakuna maajabu,Footbal ni mchezo wa Dunia nzima na sio Europe tu.
Kabla ya Wao; Wachina walifanya hii kitu, lakini mwisho wa siku ilianguka na kufa kifo cha kawaida; Kumwaga pesa pekee, tena nyingi kiasi hiki sio sustainable....Imekuwa ni ndoto ya kila mchezaji mzuri duniani kuweza kucheza soka barani ulaya!! Lakini mambo yakiendelea hivi kwa kasi hii ya pesa za waarabu, naona upepo ukibadilika na ndoto za wachezaji wengi kuhamia ligi kuu ya Saudi Arabia!! Nani asiyependa fedha?
Offer haikuwa kubwa kiasi hiki.Mbona Messi aligoma kwenda
Mbona mbape kagoma kwenda
Una uhakikaOfa haikuwa
Offer haikuwa kubwa kiasi hiki.
Ndiyo!! Hii ya sasa ni rekodi ya dunia kwenye soka!!Una uhakika
Kwani ya mbape isingekuwa World Football transfer record ?Ndiyo!! Hii ya sasa ni rekodi ya dunia kwenye soka!!
Hakuna utofauti wowote hapo,hata Europe wanatumia pesa kushawishi wachezaji wa South America,Unacho ongea ni tofauti na nnacho maanisha point yangu hao warabu wanatumia vibaya pesa za mafuta hata huko Saudia wachezaji wana kaa bench labda kama hua wanaingia 11 bila reserve
Asipoondoka atakuwa mpumbavuSalah is not for sale [emoji724]
Aende akale pensheni yake.
Kwa mtu anayehitaji ushindani hawezi enda Saudi, wanao kwenda huko washajikatia tamaa na soka la ushindani . Kama mpumbavu akiwa mbappe au Messi waliwekewa vibunda vya kwenda💔
Pesa itumike ila sio kwa style hii, huku ni kuharibu mpiraHakuna utofauti wowote hapo,hata Europe wanatumia pesa kushawishi wachezaji wa South America,
Saudi Arabia sawa ana mafuta ila unajua kua nchi nyingi tu Africa zina naturaul resources nyingi kushinda hao Saudi Arabia? Issue hapa ni kwamba unaitumiaje natural resources yako ili iinufaishe nchi?
Tafuta hela mkuu,kuharibu hela? Wewe unajua malengo yao? Utakuja kuelewa mwishoni mkuu.Pesa itumike ila sio kwa style hii, huku ni kuharibu mpira
Football sio lazima lichezwe Europe tuHawa warabu wanataka kuharibu mpira wasipo dhibitiwa wataleta kilio kwenye football ya Europe
Kutafta kwangu hela kuna husiana nini hapa?Tafuta hela mkuu,kuharibu hela? Wewe unajua malengo yao? Utakuja kuelewa mwishoni mkuu.
Mpira unazumguka,that why today Simba S.C ni mojawapo vilabu Bora Afrika.Hao wa Europe ndio wanaharibu mpira kwa kuchukua wachezaji South America na kuwaweka bench Europe ili Ligi zao ziendelee kutawala Dunia,European clubs do it to South American clubs all the time,hakuna maajabu,Footbal ni mchezo wa Dunia nzima na sio Europe tu.