Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Pep Guardiola amewahi kuizungumzia hii ishu.Hawa warabu wanataka kuharibu mpira wasipo dhibitiwa wataleta kilio kwenye football ya Europe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pep Guardiola amewahi kuizungumzia hii ishu.Hawa warabu wanataka kuharibu mpira wasipo dhibitiwa wataleta kilio kwenye football ya Europe
Ukiwa huna hela unakua unamuona mwenye hela wakati anatumia hela zake ni kama anaharibu/anachezea tu hela.Kutafta kwangu hela kuna husiana nini hapa?
Kwa mtu anayehitaji ushindani hawezi enda Saudi, wanao kwenda huko washajikatia tamaa na soka la ushindani . Kama mpumbavu akiwa mbappe au Messi waliwekewa vibunda vya kwenda[emoji174]
Salah Liverpool anachukua mshahara mnono tu auwezi fkia wa Saudi lkn mchezaj anaangalia record zake bnafsi mf, mchezaj bor wa dunia na tuzo mbalimbali ukiachilia mataji bora ya ulaya ukilinganisha na uarabuni hakuna hamsha hamshaUshindani na pesa haviendani mkuu