Kwa mtu anayehitaji ushindani hawezi enda Saudi, wanao kwenda huko washajikatia tamaa na soka la ushindani . Kama mpumbavu akiwa mbappe au Messi waliwekewa vibunda vya kwenda[emoji174]
Salah Liverpool anachukua mshahara mnono tu auwezi fkia wa Saudi lkn mchezaj anaangalia record zake bnafsi mf, mchezaj bor wa dunia na tuzo mbalimbali ukiachilia mataji bora ya ulaya ukilinganisha na uarabuni hakuna hamsha hamsha