Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto hawaliHee watu mko na uzalendo 🤣
Yan unakwamisha mishe zako kisa sensa? Si watakuhesabu huko huko ulipo?
Nimeamka kuoga, na kurudi tena kulala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hilo ni kweli,mjiandae kuhesabiwa usikuMe kila ninae muuliza bado hajahesabiwa. Ni leo kweli?
Hapana aisee mwisho saa 12 jioni wakinikosa tutakapo kutana watanihesabia hapo hapo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hilo ni kweli,mjiandae kuhesabiwa usiku
Huko hamna mishe leo wanazuia mishe mishe. Labda kama unaenda misele tu.Aisee mimi nimeamka nimepiga deki, nimeoga kabisa naona kimya.
Ngoja niende zangu lumumba bana.
Itakuwa wanaogopa mvua[emoji23],Hapana aisee mwisho saa 12 jioni wakinikosa tutakapo kutana watanihesabia hapo hapo.
Hahaahhaa nimewaandalia K-vant wapunguze baridiReception inaongea[emoji23]
Maana hii mvua leo si ya kitoto
Fake vile. Vimemuandika jirani yangu kama MjaneVile vidude sijui ni waterproof.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka wapoteze vishikwambi[emoji23]Hahaahhaa nimewaandalia K-vant wapunguze baridi
We ndo hujaliewa zoez la sensa. Unamsubiria MTU ambaye hujaagana naye.Yani sensa, nimeamka tangu saa 12 asubuhi najua watafika fasta nisepe zangu. Familia Iko mkoa na mimi nipo peke yangu home, kifatacho ikifika saa 6 kamili mchana nafunga mlango na mageti nasepa kwenye mishe zingine!
Nawaza niandikie number za simu getini? Tatizo vishkwambi vyao vimewezeshwa na talk time? Hii naona itakua changamoto kwa watu wengi.
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23],Wamenigongea,nimeuchuna.
Nikaviuze chuma chakavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka wapoteze vishikwambi[emoji23]
Tayari??Mi naanza kupuyanga