Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wanawakeKama ni demu akija nitahakikisha naulizwa maswali yote 100. Ila kama mshikaji ata matano yanatosha.
Wataibiwa hivyo vishkwambi, ukikutana na mlevi unampiga na double kick mbili tu anaflat unajibebea kishkwambi chako. Baada ya sensa nadhani nusu ya vishkwambi vitakuwa mikononi mwa wahuniNipo na karani wa sensa hapa!Kishudu original,ni burudani kwakweli kesho tutegemee nyuzi nyinyii za kula kimasihara
Ili akuroge vizuri usimwamini jiraniAcha taarifa zako kwa jirani.
Kuna mtu amewaona makarani popote?Kunakuhesabiwa Leo kweli?
Ndo ninachouliza hiko maana amaso ghosa ghali panjaKuna mtu amewaona makarani popote?
Wanasema kumsubiri karani wa sensa ni sawa na kumsubiri demu ambae hana simuMi naanza kupuyanga
Huwa wanaongozana na mjumbe! Kwahiyo unachowaza ni mission impossibleMakarani wakija na hii mvua inabidi wakaribishwe ndani[emoji23]
Wanasema kumsubiri karani wa sensa ni sawa na kumsubiri demu ambae hana simuWenzako wamekula samaki wamebakiza mkia unataka umwage[emoji23][emoji23][emoji23]
Duh kishikwambi Nilikua najua maana yake Ni mtu kicheche,malayamalaya,hajatulia na mtu wa dizaini hio,kujua Kwamba Ni tablet nimejulia humu JFIli jina vishkwambi kila muda nalisahau.
😂😂😂😂😂Wamenigongea,nimeuchuna.
Kesi yako ni Kama yangu, Mimi nimewasubiri Hadi saa tisa hawajafika nimewaachia note getini yenye namba ya simuYani sensa, nimeamka tangu saa 12 asubuhi najua watafika fasta nisepe zangu. Familia Iko mkoa na mimi nipo peke yangu home, kifatacho ikifika saa 6 kamili mchana nafunga mlango na mageti nasepa kwenye mishe zingine!
Nawaza niandikie number za simu getini? Tatizo vishkwambi vyao vimewezeshwa na talk time? Hii naona itakuwa changamoto kwa watu wengi.
Mvua inanyesha wapi hapa Tanzania mkuu?Na hii mvua mmmmmgh
Imenyesha sana maeneo ya Ubungo Leo