Hii sensa inatutoa jasho kwakweli!

Hii sensa inatutoa jasho kwakweli!

Wanakula Ndiyo Waje
IMG-20220823-WA0001.jpg
 
Nipo na karani wa sensa hapa!Kishudu original,ni burudani kwakweli kesho tutegemee nyuzi nyinyii za kula kimasihara
Wataibiwa hivyo vishkwambi, ukikutana na mlevi unampiga na double kick mbili tu anaflat unajibebea kishkwambi chako. Baada ya sensa nadhani nusu ya vishkwambi vitakuwa mikononi mwa wahuni
 
 
Ili jina vishkwambi kila muda nalisahau.
Duh kishikwambi Nilikua najua maana yake Ni mtu kicheche,malayamalaya,hajatulia na mtu wa dizaini hio,kujua Kwamba Ni tablet nimejulia humu JF
 
Yani sensa, nimeamka tangu saa 12 asubuhi najua watafika fasta nisepe zangu. Familia Iko mkoa na mimi nipo peke yangu home, kifatacho ikifika saa 6 kamili mchana nafunga mlango na mageti nasepa kwenye mishe zingine!

Nawaza niandikie number za simu getini? Tatizo vishkwambi vyao vimewezeshwa na talk time? Hii naona itakuwa changamoto kwa watu wengi.
Kesi yako ni Kama yangu, Mimi nimewasubiri Hadi saa tisa hawajafika nimewaachia note getini yenye namba ya simu
 
Back
Top Bottom