kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Hii sheria ni ya kipuuzi kabisa ndiyo inayo fanya hawa wakuu wa mikoa wajione wanaweza kufanya lolote kwa mtu yeyote wakati wowote, naamini endapo bunge letu lingekuwa ni bunge kweli la wananchi huo ujinga ungefutuliwa mbali
Hii inamfanya mkuu wa mkoa ajione yeye ni mungu maana anaweza fanya lolote akiamini ananguvu ya kukuweka ndani bila kuulizwa , ni sheria ya kinyanyasaji sana hii.
Hii inamfanya mkuu wa mkoa ajione yeye ni mungu maana anaweza fanya lolote akiamini ananguvu ya kukuweka ndani bila kuulizwa , ni sheria ya kinyanyasaji sana hii.