Simba kwa kujipa moyo kwa timu gani muifunge Yanga. Ilo beki lenu la Zimbabwe babuu. Juuko bingwa wa kufunga tela kwa ngoma na lufunga ovyoo. Mtibwa simba B tajiri wake nani asiyemjua ni simba damu. Tarehe moja zugeni mnaogopa maandamano ya ukutaHahaha
Farajaaaa
Wewe ndo utakimbia kama "ndugu zako" ambao mpaka sasa hawaonekani jukwaani.