Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Niwekee picha hata moja ya ofisi tunayojenga.Ujinga si sofa wala heshima,.kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha huu ugoro hapa..
chadema inajenga ofisi nchi nzima kila kanda mbona hukulianzishia Uzi?
Kumbuka Chadema haichukui hata senti ya ruzuku... Kuficha ujinga si dhambi
Mnayojenga na nani, tuondolee utaahira wako wa kiccm hapa.Niwekee picha hata moja ya ofisi tunayojenga.
Kamanda kuwa na adabuNa wewe ni mbwiga linalokokotwa na Shaka hapo CCM
š¤£š¤£š¤£Saccos ya Ukweni kwa "mfalme".....
Benson Mramba unahangaika sana na CCM yako ya genge la wezi wa kuraKamanda kuwa na adabu
Ujinga si sofa wala heshima,.kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha huu ugoro hapa..
chadema inajenga ofisi nchi nzima kila kanda mbona hukulianzishia Uzi?
Kumbuka Chadema haichukui hata senti ya ruzuku... Kuficha ujinga si dhambi
Kinachokuuma ni kitu gani wakati hujaombwa na kulazimishwa kuchangia?CDM wamekua machinga ck hz. Eti wanakataa ruzuku wanataka kuchangiwa haya wale mazwazwa wapeni hao kina Mbowe michango. Kwanza tuliambiwa Mbowe ni billionera michango ya nn tena
Roho ya kimaskini inamsumbua huyu mpuuziUjinga si sofa wala heshima,.kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha huu ugoro hapa..
chadema inajenga ofisi nchi nzima kila kanda mbona hukulianzishia Uzi?
Kumbuka Chadema haichukui hata senti ya ruzuku... Kuficha ujinga si dhambi
CCM huyo amezoea vya kunyongaChama hakina ruzuku ,unataka kijiendeshe vipi? Michango ya wanachama ndio vitakavyoendesha chama!! Na wanaochangia ni wanachama wewe unaumia nini?