kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,964
Kama huna elf 50+ mfukoni usimsimamishe demu utakua unapoteza muda tuKwa hali ya maisha ya Sasa ilivyo, Kama hauna hela usiombe mahusiano mapya.
Sabuni/Mafuta ni rahisi, endea hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna elf 50+ mfukoni usimsimamishe demu utakua unapoteza muda tuKwa hali ya maisha ya Sasa ilivyo, Kama hauna hela usiombe mahusiano mapya.
Sabuni/Mafuta ni rahisi, endea hayo
😂😂 tumefika pabaya sanaSisi kama taifa kwa hapa tulipofikia inabidi tujichunguze [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa, ila nadhani haya mavikoba wanayocheza Kila siku yanachangia.Kama huna elf 50+ mfukoni usimsimamishe demu utakua unapoteza muda tu
Ndiyo,, mnapaswa mvumilie sana.Kabisa, ila nadhani haya mavikoba wanayocheza Kila siku yanachangia.
Yaani unakuwa kwenye mahusiano na mtu kila siku anaomba hela, kumbe anaenda kulipa vikoba 🙆
Umefurahi nini? 😂
Mnatunyanyasa sanaaUmefurahi nini? 😂
unapoanza kuongea nae tu uwe na 25 ya lodge, 10 ya kumuachia, 10 ya kula na 5 maji ya kunywa. hii ni minimum. sasa huna kitu unaanza kusomesha akikukubalia unafanyaje?Kabisa, ila nadhani haya mavikoba wanayocheza Kila siku yanachangia.
Yaani unakuwa kwenye mahusiano na mtu kila siku anaomba hela, kumbe anaenda kulipa vikoba 🙆
Mambo madogo Kama hayo wanakuja kutujazia server tu. Embu ni PM namba yako bibie uone maajabu kwenye M-PESA yako😁Kumbe elfu 10 imeleta mambo. Ungemkaushia tu bila kuja kulalamika JF
lengo la kuandika haya yote ni nini? haielewikiKuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.
KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.
Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
[emoji1787]Shida ni kuombwa 10,000 ulitegemea umle mdada wa watu kwa kumpikia ubwabwa na maharage. Pumbavu.
Alikuwa anataka advance huyo au alikuwa anataka huduma ya prepaid.shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba,
Wadada sasa hivi wamezidi sana , unakutana na mtu leo just casually as a friend, kesho unaanza kuombwa hela like serious. Sio kitu kizur kwa mtu ambaye ndio kwanza mnafahamiana. Imekuwa too much sana.😂😂 tumefika pabaya sana
Kama tu 10k mtu anawaza vibaya 🚮
Poleni..Wadada sasa hivi wamezidi sana , unakutana na mtu leo just casually as a friend, kesho unaanza kuombwa hela like serious. Sio kitu kizur kwa mtu ambaye ndio kwanza mnafahamiana. Imekuwa too much sana.
Hahahaha.............ndiyo maana jamaa anataka kukimbiaunapoanza kuongea nae tu uwe na 25 ya lodge, 10 ya kumuachia, 10 ya kula na 5 maji ya kunywa. hii ni minimum. sasa huna kitu unaanza kusomesha akikukubalia unafanyaje?
Unajua kuomba hela Sana kunafanya Mwanaume apoteze nguvu za Kiume 🤪Mnatunyanyasa sanaa