FlyingDutchman
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 399
- 794
Itoshe kusema vjna wenzangu tutafuten pesa jmn......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa tunahitaji vitu vizuri hatuna budi kugharamia 🤸🤸Ndiyo,, mnapaswa mvumilie sana.
Tukiombaje ombaje ndio inakuwa sana?Unajua kuomba hela Sana kunafanya Mwanaume apoteze nguvu za Kiume 🤪
Muwage na nyie mnajiongeza, mwanamke anaeomba hela day one huyo ana yake. Mwanamke akikuelewa kweli hawezi kukuomba hela mapema hivyo.Wadada sasa hivi wamezidi sana , unakutana na mtu leo just casually as a friend, kesho unaanza kuombwa hela like serious. Sio kitu kizur kwa mtu ambaye ndio kwanza mnafahamiana. Imekuwa too much sana.
Anaandika na uzi tuusome [emoji23] aaah[emoji23][emoji23] tumefika pabaya sana
Kama tu 10k mtu anawaza vibaya [emoji706]
🤣 ndo manaakeKwa kuwa tunahitaji vitu vizuri hatuna budi kugharamia 🤸🤸
Asante...na hatuwataki wa style hiyo 😂😂😂 afu mwanaume anatoa hela consciously sio kwa kulazimishwa yan...in short hatupendi kuombwa ombwa hata kama mtu unazo.Poleni..
Simp culture is realDuuh unadhanije ilhali umekutana nae tu!?? Yani mtu kukutana nae tu udhani anakupenda??
Licha ya hivyo pesa muhimu mkuu, kuna jamaa alisema, it's only women and dogs ambao wanapendwa unconditionally but men unapendwa sababu unafanya nn kwenye maisha mtu ama unaleta effect gani kwake!!
Pole na hongera pia mkuu!!
Upo sahihi ndio maana tunablock mapema tuMuwage na nyie mnajiongeza, mwanamke anaeomba hela day one huyo ana yake. Mwanamke akikuelewa kweli hawezi kukuomba hela mapema hivyo.
Akiomba pesa mpe na wewe usikawie mwombe K, akizingua kukupa utamu achana naye.Wadada sasa hivi wamezidi sana , unakutana na mtu leo just casually as a friend, kesho unaanza kuombwa hela like serious. Sio kitu kizur kwa mtu ambaye ndio kwanza mnafahamiana. Imekuwa too much sana
Bora umwombe mtu Mtaji wa biashara akupe kuliko hii ya kuomba kidogo kidogo Kila siku.Tukiombaje ombaje ndio inakuwa sana?
Ninyi wanaume mkiachwa hamkumbukii, unajua fika umekaa week 2 hujampa hata mia.. afu huyo huyo akikuomba mnakasirika
Ni sawaAsante...na hatuwataki wa style hiyo 😂😂😂 afu mwanaume anatoa hela consciously sio kwa kulazimishwa yan...in short hatupendi kuombwa ombwa hata kama mtu unazo.
Unavyopenda Sasa 🤪🤣 ndo manaake
Navyopenda nn 🤣Unavyopenda Sasa 🤪
The war btn slay queens and broke guys will never end 🚮Ila hii vita sijui ni karne ipi itaisha.
it's only women and dogs ambao wanapendwa unconditionally but men unapendwa sababu unafanya nn kwenye maisha mtu ama unaleta effect gani kwake!!
Mtaji? Si ndio tutaachwa kabisa [emoji1787]Bora umwombe mtu Mtaji wa biashara akupe kuliko hii ya kuomba kidogo kidogo Kila siku.
Baada ya hapo najua utakuwa na utimamu hata wa kujifunza style mpya ya kumfurahisha mwenzio [emoji85][emoji125][emoji125][emoji125]
Si hizo Meseji za "imethibitishwa Umepokea shilingi ........kutoka ............"😂Navyopenda nn 🤣