Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Yaan elfu 10 mpaka unaiandikia Uzi inaonyesha jinsi ulivyokua mshamba Sasa siku ukiombwa laki siutaenda report kituo Cha polisi
 
Bora umwombe mtu Mtaji wa biashara akupe kuliko hii ya kuomba kidogo kidogo Kila siku.

Baada ya hapo najua utakuwa na utimamu hata wa kujifunza style mpya ya kumfurahisha mwenzio 🙈🏃🏃🏃
Kila siku inaboa nn sasa? Wakati ndo inakukeep active 🤣

Ngoja nikamboe mtoto wa mtu huko 😁

Msaprise na mtaji
Akizingua mnyonge 🤣🤣
 
Mtaji? Si ndio tutaachwa kabisa [emoji1787]
Me napenda mtu wa hivyo, kwanza unajua kabisa una date na mtu anajielewa.

Kuna wengine unadate na mtu hata Mwaka Mzima hajawahi kuomba hata shilingi kusema ajaribu kufanya biashara XYZ yeye anaomba hela ya kwenda Movie, Kusuka, sijui Gesi n.k

Unajua wanasema, usimpe mtu samaki Bali mfundishe Kuvua
 
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Wanaume wa siku Hz shida sana,sasa unataka mtoto wa kike aombe nini!asipoomba pesa?aombe akufulie nguo?!!,be realistic bana,acheni utoto.
 
Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.

KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.

Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Tuma screenshot tuone alkuombaje hyo hela
 
Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Ataganda anataka muwe marafiki ila uwe una mhudumia pale akiwa na matatizo yake binafsi, shtuka mkuu wadangaji wamekuja na mbinu mpya, siku hizi wanataka urafiki tu ila chini wanaibana kisha wanawapa wasiowahudumia, wewe kazi yako ni kuwahudumia tu

Kuna mmoja nimemtembezea block juzi,
 
Me napenda mtu wa hivyo, kwanza unajua kabisa una date na mtu anajielewa.

Kuna wengine unadate na mtu hata Mwaka Mzima hajawahi kuomba hata shilingi kusema ajaribu kufanya biashara XYZ yeye anaomba hela ya kwenda Movie, Kusuka, sijui Gesi n.k

Unajua wanasema, usimpe mtu samaki Bali mfundishe Kuvua

Mm nilijaribu hata majibu sikupewa [emoji1787] nilikoma hadi leo napambana na hali yangu.
 
Kila siku inaboa nn sasa? Wakati ndo inakukeep active 🤣

Ngoja nikamboe mtoto wa mtu huko 😁

Msaprise na mtaji
Akizingua mnyonge 🤣🤣
Nikupe mbinu, kabla hujamwomba hakikisha umempa hadi atosheke then unamwekea invoice ya huo Mtaji unaotaka.

Lakini hakikisha unampa na business plan yako kabisa, sio unataka Mtaji kumbe biashara hewa
 
Nikupe mbinu, kabla hujamwomba hakikisha umempa hadi atosheke then unamwekea invoice ya huo Mtaji unaotaka.

Lakini hakikisha unampa na business plan yako kabisa, sio unataka Mtaji kumbe biashara hewa
😂😂 somo taken
 
Back
Top Bottom