Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ni kwel...ila haya ndio niliyatumia mimi.aya mawazo yako ndio watu huwa mwishoe hawajengi kabisa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwel...ila haya ndio niliyatumia mimi.aya mawazo yako ndio watu huwa mwishoe hawajengi kabisa,
Tena huko pembeni mwa mji unaweza pata kiwanja kikubwa sana kwa mil 6 au 7 cha muhimu ni kuangalia huduma za muhimu zinapatikana na unaweza fika kwenye shughuli zako kwa wakati.Mtu mwenye uwezo wa kulipa kodi ya nyumba laki 3 na nusu kwa mwezi uchumi wake ni mzuri asee ningekuwa mimi nahamishia maisha pembezoni mwa mji ambako maisha ni nafuu ndani ya miaka 5 ntakuwa nshajenga.
Japo kupanga ni kuchagua.
Sema sasa nje ya mji kwa sasa utapelekwa mbali mnoo..sio chanika tena ni mkuranga hko au tuseme kigambon ndani ndani hukoo 😁Tena huko pembeni mwa mji unaweza pata kiwanja kikubwa sana kwa mil 6 au 7 cha muhimu ni kuangalia huduma za muhimu zinapatikana na unaweza fika kwenye shughuli zako kwa wakati.
Hii nyumba au chumba?Kwanini usitafute nyumba ya 50k x 24months umesave Tshs ngapi?
Kunywen chai tulieni tulii.kila kitu kwa hatua msiruke stagesisi wenye miaka 20-25 tunaoishi kwa wazazi mnatushaurije
Acha uongo banda hani la mil 20 kuku wa milioni 2. Kuna watu mnakuaga wachawi sana kwenye kushauri mtu . Sijui mnatokaga famikia za kishua sana au ndo kuhikweza tu.Hivi kiwanja milioni 20,mkopo million 20, banda la kuku na kuku wake 2 million. Jumla napata kama milioni 42 hivi.
Hivi haiwezekan katika milioni 25~30 kupata nyumba ambayo ipo standard ukiwa umepunguza million 10 za mkopo? Na kuwaepusha watoto kula ugali tembele daily? Au ndio ile lazima tukae madale, mbezi beach, kawe nk!
hahaha sawaKunywen chai tulieni tulii.kila kitu kwa hatua msiruke stage
Hii nyumba au chumba?
Umesema kweliMaisha ya namna hiyo tunaishi wengi. Ni magumu lakini ni changamoto ya muda kitambo kidogo.
Baada ya muda mambo huwa sawa zaidi ya sana.
Safi sana...dahhh..hiyo umetulia tuli unalipwa salary yako ya mwalimu ila huna stressMikoani ni nyumba.
Safi sana...dahhh..hiyo umetulia tuli unalipwa salary yako ya mwalimu ila huna stress
ki ukweli hata mimi nikipata hela uwezi kunishawishi nikakae pembezoni mwa mji yaani nikateseke chumba cha elfu 40, sijui nikaangaike kujenga kanyumba akaeleweki polini uko,,,,
big No izi hela namtafutia nan sasa mimi nitapanga apartment nzuri mjini uko nitajenga taratibu nikiwa mzee pembezoni mwa mji,,,,,
Duniani hatujaletwa kuteseka jamaan
Akili kumkichwa kama una uwezo kidogo nunua kiwanja hata porini jenga baada ya miaka 5 unaweza kuta kiwanja ulichonunua kwa 1.5m kinauzwa 15m. Kwa wakati huo utakua mjini. Kuna watu wanajidai kua hawawezi kuhama katikati ya mji but wana vyanzo vizuri vya hela. Wengine wana support toka kwenye familia zao.Sasa rafik tunafanyaje !!?
Yah..mjini ni shida...Yaani unafanya savings mpaka raha. Shida ipo mjini Daslamu
Ni kwel kabisaAkili kumkichwa kama una uwezo kidogo nunua kiwanja hata porini jenga baada ya miaka 5 unaweza kuta kiwanja ulichonunua kwa 1.5m kinauzwa 15m. Kwa wakati huo utakua mjini. Kuna watu wanajidai kua hawawezi kuhama katikati ya mji but wana vyanzo vizuri vya hela. Wengine wana support toka kwenye familia zao.
Sure mm najikomba hapa nijenge kijumba mpiji ndani ndani huko jamaa yangu anajicheka et porini. Kiwanja nimenunua kwa kudunduliza.Tunapo feli mtihani wa maisha ni kukopiana wakati kila mtu anazaliwa na swali lake.