KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Watu wengi wanateseka kwa sababu hawataki kukubaliana na uhalisia wa mambo kwa nyakati alizopo na ubinafsi baada ya kufanya mambo kwa ajili ya faida ya kizazi chako baada ya kujiwazia mwenyewe.
Sehemu unayoona ni porini kwa wanao patakuwa ni mji na watafaidika na uwekezaji huo hata sinza yalikuwa mapori ambapo walikuwa wanaishi watu walioshindwa maisha ya mjini lakini leo ni mji mkubwa.
Maisha ni leo na kesho.
Sehemu unayoona ni porini kwa wanao patakuwa ni mji na watafaidika na uwekezaji huo hata sinza yalikuwa mapori ambapo walikuwa wanaishi watu walioshindwa maisha ya mjini lakini leo ni mji mkubwa.
Maisha ni leo na kesho.