The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
ukivuka ferry ukiingia kigamboni kushoto kwa chini, inshort ni mbele ya kigamboni cheka. kutoka kigamboni hesabu kilomita 35 ndio ufike buyuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukivuka ferry ukiingia kigamboni kushoto kwa chini, inshort ni mbele ya kigamboni cheka. kutoka kigamboni hesabu kilomita 35 ndio ufike buyuni.
Unafikiri mapori yanayoongelewa ni mapori hasa? Hapana kuna maeneo ndo yanaendelea unakuta nyumba zipo mbalimbali wao wanaita pori. Daladala mwisho saa 12 hakuna supermarket ndo kinawakatisha tamaa.Cha muhimu nibarabara ya kufika huko na pia kukaa porini peke yako unaweza kuvamiwa na majambazi. Angalia idadi ya waliohamia...
Acha kabisa mkuu kuna wazee wapo mjini hapa toka miaka ya 80's na 90's wengine wanashangilia wengine wanajuta je tofauti yao ni ipi? Hiyo kibada yanleo kiwanja 20*20 unakuta mil 12 wakati kuna watu walikua na chance ya kumiliki hata ekari 10Umenikumbusha mbali sana mkuu. Mwaka 2003 nilikwenda kumtembelea ndugu yangu aliekuwa anaishi kibada....
Tena sehemu kama hizi ndiyo unaweza kujiongeza zaidi ukaweka container, unauza mahitaji muhimu.Unafikiri mapori yanayoongelewa ni mapori hasa? Hapana kuna maeneo ndo yanaendelea unakuta nyumba zipo mbalimbali wao wanaita pori. Daladala mwisho saa 12 hakuna supermarket ndo kinawakatisha tamaa.
Hakuna pori...ukiona pori una bahati sana maana ndo fursa hiyo.Ila Dar inapanuka mno
mkuu nilijenga ndogo kwanza nyuma iliyo kamili.Hilo pagare linawasitiri wengi......haliwezi kua pagare milele
Wakati mwenzio anafanya finishing wewe ndo unahangaika na kiwanja.
But fuata moyo wako
Ila napapenda pemba mnaziukivuka ferry ukiingia kigamboni kushoto kwa chini, inshort ni mbele ya kigamboni cheka. kutoka kigamboni hesabu kilomita 35 ndio ufike buyuni.
nichukue mkopo tukaishi wote kama kweli wewe ndio uko hapo profile, kidding me 😂😂😂Ila napapenda pemba mnazi
😂😂😂😂 Ahsante kwa ofa.nichukue mkopo tukaishi wote kama kweli wewe ndio uko hapo profile, kidding me 😂😂😂
Kuzuri sana, Kigamboni kwa kuwa wilaya na manispaa itakuja kuwa nzuri kuliko huko kwenye beach kidimbwi.Ila napapenda pemba mnazi
sasa nsipokula nawe huo mkwanja sasa ntakula nani, sinaga huo ujanja kwako. 😘😘😂😂😂😂 Ahsante kwa ofa.
Ooh ok km 35 nyingi aseeukivuka ferry ukiingia kigamboni kushoto kwa chini, inshort ni mbele ya kigamboni cheka. kutoka kigamboni hesabu kilomita 35 ndio ufike buyuni.
Usikariri ndugu, jambo usilojua ni vema kuuliza.Nyinyi ndio wenye support za wazazi/walezi.
Na hawa huwa wanawaponza wengi sana wanaotokea familia za kimasikini.
Ni kama Kibaha tu, wapo watu wanakaa Kibaha, Pwani, ila mishemishe Dar, walinunua viwanja bei rahisi, na wakajenga wanahangaikia tumbo na mengineyo, walishaachana na kodi!
Inaanza kununua IST mengineyo yatafuata 😂 😂 ujana mzuri!Yaani Bongo tunasoma ili tuajiriwe hafu tuoe kisha tuzae na tuangaike kusomesha tujenge na kununua IST kisha Tufe.
Basi.
Hayo mawazo nilikua nayo hata mm ila mke wangu alikomaa nijenge huku nilipo na palikua polini kiasi ila kwa sasa pamekua town hasa.Ukikaa unasema ule ujana kaa pia ukijua kuna kuachishwa kazi kuna kuna kufilisika kampuni ukajikuta huna pa kushika ukabaki unatoa mimacho tu wakati ulikia unachezea pesaki ukweli hata mimi nikipata hela uwezi kunishawishi nikakae pembezoni mwa mji yaani nikateseke chumba cha elfu 40, sijui nikaangaike kujenga kanyumba akaeleweki polini uko.
big No izi hela namtafutia nan sasa mimi nitapanga apartment nzuri mjini uko nitajenga taratibu nikiwa mzee pembezoni mwa mji.
Duniani hatujaletwa kuteseka jamaani.
Maskini wa Kwamtogole anaeishi maisha sawa na tajiri wa Bura!!
Kupata kiwanja cha kujenga nyumba hasa katika prime area ni changamoto kubwa kwa sisi tunao safiri kuelekea uchumi wa kati. Unakuta pango la mwezi unapokaa ni 350, 000, ukipiga hesabu kwa miaka miwili unaona ni kheri ujenge ya kwako.
Umepata kiwanja kwa milioni 20. Bahati nzuri ulikua na akiba ya milioni 5, benki wakakupa milioni 20 mkopo. Rafiki zangu wengi walichofanya ni kujenga nyumba ya kujistiri nyuma ya kiwanja. Ina basic needs tu na kuhamia.
Mbele ya kiwanja anaweka banda la kuku hawa wa kienyeji na matuta manne ya mchicha. Hapo amepiga mahesabu ya kurudisha mkopo. Watoto wakilalamika wamechoka kula mchicha wanapozwa na kuku. Maharage ndiyo kubadilisha menu.