Ukikaa huko nje ya mji wakati una crown athlete unajikuta upo pale pale...Mtu mwenye uwezo wa kulipa kodi ya nyumba laki 3 na nusu kwa mwezi uchumi wake ni mzuri asee ningekuwa mimi nahamishia maisha pembezoni mwa mji ambako maisha ni nafuu ndani ya miaka 5 ntakuwa nshajenga.
Japo kupanga ni kuchagua.
Ila siku zote, mpangaji, hapendi kupanga, sehemu ambayo inamgarimu sana, kwenda kwenye, shuguri zake, na kurudi nyumbani.Mtu mwenye uwezo wa kulipa kodi ya nyumba laki 3 na nusu kwa mwezi uchumi wake ni mzuri asee ningekuwa mimi nahamishia maisha pembezoni mwa mji ambako maisha ni nafuu ndani ya miaka 5 ntakuwa nshajenga.
Japo kupanga ni kuchagua.
Ila ni 70km kutoka Kigamboni kwaio kwenda na kurudi ni 140km x 5 days = 700km kwa mwezi ni 2800km hio gari itakua inaenda service kila mwezi aisee..hapi sijapiga hesabu ya mafuta...Puna, Pembamnazi kote shamba ila kuzuri sana ukiwa haswa na usafiri. Hakuna foleni!
Everyday is Saturday.............................. π
Umeongea uhalisia. Safi sana.Kupata kiwanja cha kujenga nyumba hasa katika prime area ni changamoto kubwa kwa sisi tunao safiri kuelekea uchumi wa kati. Unakuta pango la mwezi unapokaa ni 350, 000, ukipiga hesabu kwa miaka miwili unaona ni kheri ujenge ya kwako.
Umepata kiwanja kwa milioni 20. Bahati nzuri ulikua na akiba ya milioni 5, benki wakakupa milioni 20 mkopo. Rafiki zangu wengi walichofanya ni kujenga nyumba ya kujistiri nyuma ya kiwanja. Ina basic needs tu na kuhamia.
Mbele ya kiwanja anaweka banda la kuku hawa wa kienyeji na matuta manne ya mchicha. Hapo amepiga mahesabu ya kurudisha mkopo. Watoto wakilalamika wamechoka kula mchicha wanapozwa na kuku. Maharage ndiyo kubadilisha menu.
Leo umejipangaTunapofeli mtihani wa maisha ni kukopiana wakati kila mtu anazaliwa na swali lake.
True... ila hiyo 350 ni normal tu kwa wengi... kijiwen nina bwana mdogo mmoja 26 years tunapiga kazi yy analipa 900k.Mawazo yako haya hutakaa mshawishi...atakupiga makofi [emoji23]
Tumeishi na watu wanafanya biashara hazieleweki leo maandazi kesho mihogo baadae matunda mara anauza icecream.. anajenga porini huko na nyie na mishahara yenu mnabaki kupanga.
Muda unaenda unakaribia kustaafu unaanza kuhangaika kutafuta kiwanja wakati mwenzio muda huo ana wapangaji eneo kubwa anafuga na maisha yanaenda
Asa mtu unajenga Chanika, utasema upo mjini.?
Hata mimi nilichukua miaka kadhaa.binafsi upo kama mimi.
Wakati huo sijaoa nilikuwa nanunua vitu lakshari tu kama godoro na kitanda na vitu vingine,nilipotaka kuoa nikaona vyote havifai nikaingia gharama upya wakati nilikuwa na uwezo wa kununuaa vitu vya kutumia hata baada ya kuoa.
Wakati huo nilijipa matumaoni kuwa aah si nipo peke angu acha tu ntanunua kikubwa baadae nomejifunza kupitia vitu hivyo vya kawaida sitaki kufanya makosa kwemye nyumba.
Nina kaeneo kangu kapo kanfokanfo ya jiji la dar nilichofanya ninatafuta ramani ya nyumba yangu ninayoitaka najua kujenga kwa mkupuo siwezi ila nakomaa nayo hata kama miaka kumi basi nasimamisha kitu ninachokitaka inakuwa poa sana.
Alone kabisa...Alikua na ka girl friend ila kamempiga chini last week ππ yeye anasema anapend kuishi quality life sio life bora mradi tuDuh yote hio ya nini haswa
Anaishi na familia au?
Mzee wangu alinunua kiwanja tuangoma,ukubwa wa eneo 2100 square meters for 1.2M vikiwa vimepimwa na serikali tayari kati ya 2006-2008, akaanza kujenga mdogo mdogo, niliwahi kupaona mara ya mwisho mwaka 2009, akiwa kaezeka na kupiga madirisha ya wavu tu. Mimi nilipaona porini, hakuna umeme wala maji, akachimba kisima chake hapo, nyumba ya karibu ipo mbali sana. Nimerudi january 2021(miaka 12 baada ya kuwa mikoani mfululizo) nilibaki nashangaa tu, maghorofa kila kona, umeme, maji na huduma zote zinapatikana. ndo nikajua huyu jamaa alikuwa anaplan parefu sana.Maeneo ya Dar sio y kudharau hata kidogo, leo mtu akikubembeleza ununue kiwanja kwa 2.5m usikatae hata kama ni shamba. Ndani ya miaka mitano utashangaa, tena ni vile tu mchizi ameharibu mambo, Ila viwanja kwa jiji la Dar haijalishi ni wapi.
Nilienda Tuangoma, hakika nilipapenda. Jamaa wananiambia 2005 viwanja viliuzwa 2.5m, leo hii huna 25...30m hukamati eneo, the place is really nice.
Alone kabisa...Alikua na ka girl friend ila kamempiga chini last week [emoji23][emoji23] yeye anasema anapend kuishi quality life sio life bora mradi tu
Viwanja si vipo Chanika pia π au Vikindu tena vya bei rahisi sana. Million 5 unapata uwanja wa kujigaragaza π ila ndio mbali balaa 25KM+Nyumba zipo za 25m unaifanyia finishing kiasi unajngia, sema wengi wanagaka kiwanja Mbezi Bunju n.k ambapo ni ghali sana
Huwezi kupata kwanja cha million 6 bila kuwa 30KM+ toka city center.Sema sasa nje ya mji kwa sasa utapelekwa mbali mnoo..sio chanika tena ni mkuranga hko au tuseme kigambon ndani ndani hukoo π
Sehemu zote hata Mbweni palikuwaga mashambani miaka ile ya 2003-2004 ila leo, 2020 ni kama Beverly Hills ya Bongo πππ maamuzi ambayo mtu angeweza kuyafanya 2008 tu yangekuwa na manufaa sana leo.Akili kumkichwa kama una uwezo kidogo nunua kiwanja hata porini jenga baada ya miaka 5 unaweza kuta kiwanja ulichonunua kwa 1.5m kinauzwa 15m. Kwa wakati huo utakua mjini. Kuna watu wanajidai kua hawawezi kuhama katikati ya mji but wana vyanzo vizuri vya hela. Wengine wana support toka kwenye familia zao.
Kuzikwepa hizo ndio utajikuta unanunua kiwanja cha 15*20 kwa million 20 eneo la 10KM kutoka ilipo ferry
na umesahau vile vile kuna kufa,,ntajenga kipato kikiruhusu ila siwezi kujitesa kisa tu nijenge,,, unakuta mtu hali vizuri avai vizuri kisa tu anajibana ajenge mimi siwezi