Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Chizi ulifikaje Dar kwanza tuanzie hapo.
[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chizi ulifikaje Dar kwanza tuanzie hapo.
Nyie ndo watu JF huwa mnadai mna maisha mazuri sana humu....
Duuuh! nilirudi kijijini kwetu,nikakuta stori ya bibi mmoja,alienda kwa mwanae mjini,alinyanyasika Sana,hadi akaomba arudi kijijini kwenye maisha ya shida.Watu wa mjini msiwadharau watu wa kwenu,chakula tu au malazi ni nongwa...?
Anyway mnasubiriwa,mkifa mkazikwe huko vijijini,ambako wachimba kaburi mtawakuta haohao mnaowajandia,wasije makwenu.
[emoji1787][emoji23][emoji23]Watu wa daslama kwa kujifanya mmeyapayia maisha hamjambo.
Mbona watu wa mikoa mingine hawalalamiki?? Nini kipo special Dar??
Au ndio kupigania uchumi wa buluu
Magufuli hostel si zipo Coca[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukweli kabisaa, ndugu wa mke huwa hawapatagii tabuuu.
Sitasahau mie nilichofanyiwa, niliondoka mie mdogo wa mke wa Kaka alibakiii. Baadae nilijua kuwa yule ndo ubavu wa Kaka na pale ni kwake ana mamlaka ya nani akae nani asikae.
Mwaka wa 11 huu sijawahi kanyaga tena kwao.
Kwanini kila mtu asitulie kwake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndio mtie kufuli hadi chooni na funguo mnatembea nazo?
Ila kuna watu wana roho ngumu sana kuhusiana na hawa ndugu wanaokuja pasi na kutoa taarifa. Jamaa anawauliza " Je, mlisikia mimi naumwa?" "Hapana tumekukumbuka sana ndo maana tumekuja kukusalimia". "Ok, kwa vile sasa mmekuja na mmeniona nipo mzima, basi kesho asubuhi na mapema mjiandae kurudi mlikotoka".
Ubahili nao ni wangu why unanilazimisha kuuacha?Kirimu wageni toka mkoa ndugu yangu acha ubahili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kweli mke Ni pambooo...mume wangu aliwahi washushuaa ndugu zakee kuhusu mavazi yanguu...siwezagi kuvaa matenge Mimi nikiwaa home ni mwendo wa pensi na simple dress..sasa waoo mkewwee kashindikannaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]aliwasuuzaa
Wahurumie kidogo nao wafaidi.Ubahili nao ni wangu why unanilazimisha kuuacha?
Hii kubwa kuliko,hawapeleki hata daraja la Mfugale wakashangae kidogo ndio awarudishe.....?Ila kuna watu wana roho ngumu sana kuhusiana na hawa ndugu wanaokuja pasi na kutoa taarifa. Jamaa anawauliza " Je, mlisikia mimi naumwa?" "Hapana tumekukumbuka sana ndo maana tumekuja kukusalimia". "Ok, kwa vile sasa mmekuja na mmeniona nipo mzima, basi kesho asubuhi na mapema mjiandae kurudi mlikotoka".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila kuna watu wana roho ngumu sana kuhusiana na hawa ndugu wanaokuja pasi na kutoa taarifa. Jamaa anawauliza " Je, mlisikia mimi naumwa?" "Hapana tumekukumbuka sana ndo maana tumekuja kukusalimia". "Ok, kwa vile sasa mmekuja na mmeniona nipo mzima, basi kesho asubuhi na mapema mjiandae kurudi mlikotoka".
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii kubwa kuliko,hawapeleki hata daraja la Mfugale wakashangae kidogo ndio awarudishe.....?
Haina shida,ila mahusiano na watu wa kwenu,yawe mazuri na ujitahidi kuwatriti kama walivyo na labda kwa kuwavumilia baadhi ya tabia zinazovumilika.Yule dingi mtoto wa yule bibi,inasemekana alikua hana shida,ila mkewe ndo alionekana ana shida,matokeo yake yule dingi,akikuja kapata shida ya figo,na uwezekano wa kupewa na ndugu,ulikuwepo,lakini ndugu walikwepa hilo jukumu,dingi alifariki.Inasikitisha sana.Dingi yule anapigania afya yake,ndugu wanaongea yao,alifariki yule dingi.R.I.P niliwahi kwenda kwake,kumtembelea,pale Sinza,he was a good man indeed,nilipofika tumekaa tunaongea,kwasababu alijua mimi natokea kijijini kwake na anajua utamaduni wa kule,zililetwa ndizi za kupikwa,akamwambia mkewe,huyu hawezi kula hicho chakula,akafurahia,msongeeni ugali,nikasongewa ugali,nikala nikainjoi,jioni nikasepa zangu,kipindi hicho alikua anafanya dialysis.He was a a good man kwakweli.Siku zote hua namwomba mungu nimudu shida zangu, hua sitaki kumsumbua mtu na maisha yake na yeye asinisumbue.
Shida ya watu wakija kwenye nyumba wanakuja na mazoea ya walipotoka na akifika akakuta utaratibu fulani tofauti na alivyozoea anaona anaonewa japo kuonewa kweli kupo ila ni kwa uchache wengi wanasumbuliwa na huelewa mdogo.
Unakuta mtu keshazoea kula milo mitano kwa siku akija kwako akakuta milo mi3 nyama chache anaanza kujudge mbona mnaendesha magari ila chakula ndani hakuna mara mwanamke anaroho mbaya hatak tule..! na n.k.
Mi siwezi kukaa kwa ndugu, na ndugu wakija kwangu wafate utaratibu wangu hutaki left, binafsi ni bora nilale stand kwa ndugu ntapita kusalimia tu.
izo mambo kwa wachagga hamna iyo ki2!!!Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.
Mi nipo zangu home jana inaingia simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.
Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.
Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.
Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.
Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.
Mimi walienda kusema nafuja sana pesa badala ya kuwasomesha watoto wao. Mtu kazaa watoto 13 anataka nimsomeshee... Mimi nina 3 tu. Bado wanaenda kusema nakuaje na watoto wachache ... Mwanaume gani. Mke amenikalia kichwani anarudi jioni kama mwanamke. Wanataka wife awafulie nguo zao. Na wanakuwa wakali akirudi awapatie chakula n.k sina hamu na ndugu kabisa.
Mmoja tumekaa naye mwaka mmoja amekuja nimsomeshe diploma. Akirudi toka chuo anaangalia TV mpaka saa 4 akipewa kazi basi za home siku yupo asaidie... Anasema anateswa sana hawezi soma. Nikasubiri likizo. Akaenda kwao kusalimia. Nikamwambia atafute chuo aendelee kusoma huko, nitamlipia ada.
Alilia sana anataka arudi Dar. Nilimwambia huku wifi yako atakutesa hutapata muda wa kusoma. Akabembeleza sana nilimkatalia coz alishanipakaza sana kijijini na kumchafua sana wife. Na mtu mwenyewe ni ndugu wa mbali kabisa..
Hata wewe 😅😅😅Kiukweli kwa maisha tuliyo nayo sasa inapendeza mgeni akija aje kwa taarifa.
Ni asiyeelewa tu namna dunia imefikia wapi kwa sasa ndo ataona ye mgeni akija tu kwake bila taarifa ni sawa.
Hawa hawa tunaowaamini wengi wamekuwa mwiba kwa baadhi ya familia hasa baada ya kuja bila kuwa na vya msingi vilivyowaleta.