Hii tabia Musoma inakera sana

Niletee mimi huku niliko niwachape viboko halafu wajifunza
 
Hii tabia unakuta kwa vijana Wa kiarusha pale shivazi.mrina bar,picnic, kitundu,na Huo mtaa Wa picnic Kwenda mbele mbele kidogo kuna vijana hapo Wa Arusha kazi ni kutembea na bilauri ya plastic kuomba ama kugongea pombe
 
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Yalaaaa toa raman
 
Ni masikini,wafanyeje?

Man has to do anything to eat....wewe unatakaje kwa mfano?

They have to do anything in their power waweze kula even hata kuua wewe,its their right to do in order to feed themselves!

Shukuru mungu hawajakuua
Unaongelea kula yeye anasema Wakurya na Wajita sasa wanaombaomba wapunguziwe K vant kwenye kikombe mara bia yaani wanatengeneza Cocktail tu na ukuwadi
 
Tanga, Moro, Dar, Mbeya na Mwanza sijaiona hii tabia.
Hii ndio mikoa nimeingia kwenye kumbi za starehe bila kukutana na hao ombaomba wa vinywaji.
Hvi Musoma pia kuna ombaomba wa barabarani kama ilivyo Mwanza, Dodoma, Dar na Morogoro? Naombeni jibu maana mimi maeneo ya ombaomba wa barabarni huwa yananikera kwelikweli tena wengine ni wazima kabisa wa akili na viuongo vya mwili.
 
Unaongelea as if hao watu wapo jangwani ,au Kuna janga limewakuta wanalia shida kumbe watu wamejipodoa wapo club wanaomba bia...

Hv hujisikii aibu kutetea ujinga km huo?

Kweli kabisa mtu unatoka kwako kwenda kwenye starehe kuomba pombe!!?
Inatia hasira Sana halafu anakuja mtu anasema na wao Ni binadamu....

Jitafakari bro! Usipende vitu vya mlegezo utalegezwa....
 
Ni masikini,wafanyeje?

Man has to do anything to eat....wewe unatakaje kwa mfano?

They have to do anything in their power waweze kula even hata kuua wewe,its their right to do in order to feed themselves!

Shukuru mungu hawajakuua
Hao hawaombi chakula bali pombe
 
Wewe utakuwa unatembelea vilabu vya gongo.
 
Mkuu tunaongea tu kiutani hatujawa siriazi kihivyo usikasirike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…