Hii tabia Musoma inakera sana


Asa unadhan wanalipwa vizuri?unakuta analipwa 2000 kwa siku au 3000
Sema tabia kuomba omba tu imewakaa
 
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
[emoji16][emoji16]
 
Duuu kama ni ushamba sasa huko wamekubuhu. Yaani hayo yanafanyika sehemu za starehe, sasa si wakajiuze?[emoji1]
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
Akajibuje
 
Acha kutuchafua wewe kunguru wewe umekwenda kustarehe maeneo ya Mateja halafu unapiga kelele nenda club uone kama kuna huo upuuzi.Wewe kama hujui kwenye pombe za kienyeji watu wanashare vinywaji .
 
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mura uwe nidhamu
Heshimu Mkoa wetu
Hatuna vijana Kama hao Tata kwenye kumbi zetu.
Maeneo gani ebu Specify.
 
👍
 
Hivi jaman pale tembo beach [emoji905] washapaendeleza au pako vile vile tu
 
Hivi jaman pale tembo beach [emoji905] washapaendeleza au pako vile vile tu
Pamezidi kuchoka na mvua za mwaka juzi mwishoni mpaka mwaka jana mwanzoni zilisababisha ziwa kujaa sana hivyo eneo la beach limepungua sana na kuharibika.
 
Mura uwe nidhamu
Heshimu Mkoa wetu
Hatuna vijana Kama hao Tata kwenye kumbi zetu.
Maeneo gani ebu Specify.
Gorofan pale mzee uje siku mmoja utajione alafu uje ulete feedback hapa Jf ikibidi ni tag kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…