Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wewe ndo mbinu yako hii unayotumiaga sio......!!
Watu humu mna maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo mbinu yako hii unayotumiaga sio......!!
Wanazunguka na chombo kuomba vinywaji!!! Naona jambo la ajabu na geni kweli kwangu... sijui ni kwavile siendagi hizo sehemu (kumbi) za starehe au vipi ila sikatai maana...
Kuna katabia kanakofanania na hako tunakutana nako sana migahawani kwa mama lishe hasa hasa mikoa ya ukanda wa pwani
Wamama/wadada wanaouza vyakula wakiona umeenda mteja ambae ni kijana aisee utajuta! Maana mtu anakupimia (anakuuzia) chakula halafu anakwambia yeye ana njaa ikiwezekana umnunulie na yeye chakula
Haitoshi unamuagiza kinywaji (maana mara nyingi ukienda mgahawani basi huduma zingine nyingi kama siyo zote wanakufanikishia wao- mamalishe) basi na yeye anadai kinywaji au chenji ya kinywaji
Haishii hapo bado wakati wa kuondoka unalipia msosi anakupa chenchi lakini huku anakushawishi usamehe jero akapate maji baridi duh!!![emoji38][emoji38][emoji38]
Halafu tabia hiyo naona imeshamiri hasa kwenye migahawa yenye wahudumu zaidi ya mmoja. Unakuta mama mtu mzima (mara nyingi ndiye boss mmiliki wa biashara) halafu kunakuwa na binti au wadada na hao ndo wenye tabia ya kuomba omba sasa sijui hawalipwi vizuri na boss wao
Tena mara nyingi wanafanya hayo kimya kimya yule mama mtu mzima (boss) asisikie wala kuelewa kinachoendelea
[emoji16][emoji16]Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Aisee[emoji16][emoji16]Kama bado ni muendaji basi utakutana nayo tu, vijana wa pale kama makuwadi/madalali kwa mademu ukimnunulia kinywaji tu anakuletea demu yyte utakaemuhitaji.
Duuu kama ni ushamba sasa huko wamekubuhu. Yaani hayo yanafanyika sehemu za starehe, sasa si wakajiuze?[emoji1]Habari wana JF,
Moja kwa moja niende kwenye mada.
Kumekuwa na tabia ya ajabu sana na ya kusikitisha sana hasa kwenye kumbi mbalimbali za starehe yaani ukiingia kwenye kumbi nyingi za starehe hapa Mjini Musoma Kuna kuwa na vijana wengi sana wa kike na wakiume.
Lakini jambo linalo nisikitisha nikua vijana hawa hasa wakiume wamekua ombaomba wakiwa kwenye kumbi hizo za starehe tena kazi yao ni kuzunguka na cup wakikufikia kwako wanasogea karibu na kukuambia uwawekee kinywaji kidogo haijalishi ni kinywaji gani unatumia yeye ili mladi aonekane anakunywa na kinachoniudhi zaidi ni pale anapokuja mmoja akikuomba ukimuwekea kidogo tu anaenda kuwaambia wenzake nao wanakuja kukuomba na ukisha mpa mmoja basi jua kuanzia siku hiyo wewe ni rafiki yake wa karibu sana kila unapokuwa unaenda akikuona tu anakufuata na kukubembeleza umnunulie kinywaji au umuwekee kidogo kwakwel hii tabia imekuwa ikinikwaza sana wanapokuona umeingia wanakuja na kuanza kukusumbua.
Kwa huku mwanza ni vice vesa yaani wadada ndio waomba vinywaji,atajisogeza karibu na kuanzisha story za uongo na kweli kisha ataomba bia, hii hunitokea mara nyingi na last time niko zangu las Vegas nakula vyombo usiku dada mmoja kanishobokea eti twende diamond kule ndio kuna amsha amsha,nikamuangaliaaaaa nikamuuliza kwani tulikuja wote mimi na yeye!!
Duuu na wewe utawala!?Wanapenda vya bure watafirw@@@!!
Ngoja niende huko nikawakomeshe na umatonya wao.
Acha kutuchafua wewe kunguru wewe umekwenda kustarehe maeneo ya Mateja halafu unapiga kelele nenda club uone kama kuna huo upuuzi.Wewe kama hujui kwenye pombe za kienyeji watu wanashare vinywaji .Habari wana JF,
Moja kwa moja niende kwenye mada.
Kumekuwa na tabia ya ajabu sana na ya kusikitisha sana hasa kwenye kumbi mbalimbali za starehe yaani ukiingia kwenye kumbi nyingi za starehe hapa Mjini Musoma Kuna kuwa na vijana wengi sana wa kike na wakiume.
Lakini jambo linalo nisikitisha nikua vijana hawa hasa wakiume wamekua ombaomba wakiwa kwenye kumbi hizo za starehe tena kazi yao ni kuzunguka na cup wakikufikia kwako wanasogea karibu na kukuambia uwawekee kinywaji kidogo haijalishi ni kinywaji gani unatumia yeye ili mladi aonekane anakunywa na kinachoniudhi zaidi ni pale anapokuja mmoja akikuomba ukimuwekea kidogo tu anaenda kuwaambia wenzake nao wanakuja kukuomba na ukisha mpa mmoja basi jua kuanzia siku hiyo wewe ni rafiki yake wa karibu sana kila unapokuwa unaenda akikuona tu anakufuata na kukubembeleza umnunulie kinywaji au umuwekee kidogo kwakwel hii tabia imekuwa ikinikwaza sana wanapokuona umeingia wanakuja na kuanza kukusumbua.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Nikiwa Mwanza napapenda Gold Crest.Wapi hapo Matvilla nini?
Yaa pako poaNikiwa Mwanza napapenda Gold Crest.
👍Hiyo ni observation yako binafsi
Unaruhusiwa kutoa maoni
Mwingine atakuja na mtazamo kinyume na wewe kabisa
Tuishie kusema,kila mtu na mtazamo binafsi kuhusu Musoma....!
Wewe kila wakati kwenye simu yako unaomba washikaji wako misaada mbalimbali ya mikopo ya pesa....hiyo nisahihi,ila mlevi mwenzio mliyekutakan kwenye ulevi akikuomba pombe ni vibaya?
Kama mnaweka double standards namna hii basi ni sawa!
Mimi sio mlevi,huwezi nikuta baa yeyote nafanya chochote!
Yani angesema tu pale kigorofani kuna tabia ya kuomba omba anavyosema kumbi za starehe utasema ziko ngapi sijuiHivi Musoma pale pana ukumbi gani wa starehe zaidi ya pale gorofani?
Pamezidi kuchoka na mvua za mwaka juzi mwishoni mpaka mwaka jana mwanzoni zilisababisha ziwa kujaa sana hivyo eneo la beach limepungua sana na kuharibika.Hivi jaman pale tembo beach [emoji905] washapaendeleza au pako vile vile tu
Gorofan pale mzee uje siku mmoja utajione alafu uje ulete feedback hapa Jf ikibidi ni tag kabisaMura uwe nidhamu
Heshimu Mkoa wetu
Hatuna vijana Kama hao Tata kwenye kumbi zetu.
Maeneo gani ebu Specify.
Gorofan hapo ndipo napo zungumziaYani angesema tu pale kigorofani kuna tabia ya kuomba omba anavyosema kumbi za starehe utasema ziko ngapi sijui