πππ€£π πππUmenuna mkuu?πππ
Kwa sasa tumeanza na sisi kutumia majina ya kwetu. Mfano tuna wachezaji kwa sasa wanaitwa kiungo punda, kiungo nungunungu, kiungo konokono, nkHuu ni upuuzi mkubwa sana tunauendekeza, unakuta mtu akiwika ama akifanya vizuri basi anapewa jina la mtu mwingine mpaka linafifisha jina lake.
Utasikia Kelvin John Mbape, mara Juma Mgunda Pep Guardiola Mnene, hebu waacheni watengeneze utambulisho wao.
Utasikia John Bocco Adebayor enzi hizo mara sijui nani nani Ramadhani Singano Messi na sijui aliishia wapiHuu ni upuuzi mkubwa sana tunauendekeza, unakuta mtu akiwika ama akifanya vizuri basi anapewa jina la mtu mwingine mpaka linafifisha jina lake.
Utasikia Kelvin John Mbape, mara Juma Mgunda Pep Guardiola Mnene, hebu waacheni watengeneze utambulisho wao.
Kiungo bamia umemsahauKwa sasa tumeanza na sisi kutumia majina ya kwetu. Mfano tuna wachezaji kwa sasa wanaitwa kiungo punda, kiungo nungunungu, kiungo konokono, nk
Professor NabiKwa sasa tumeanza na sisi kutumia majina ya kwetu. Mfano tuna wachezaji kwa sasa wanaitwa kiungo punda, kiungo nungunungu, kiungo konokono, nk
Wengine wajiita Chura a.k.a UtopoloHuu ni upuuzi mkubwa sana tunauendekeza, unakuta mtu akiwika ama akifanya vizuri basi anapewa jina la mtu mwingine mpaka linafifisha jina lake.
Utasikia Kelvin John Mbape, mara Juma Mgunda Pep Guardiola Mnene, hebu waacheni watengeneze utambulisho wao.