Hii tabia ya hovyo kuwapa wachezaji majina ya wachezaji na makocha wakubwa kutoka nje inakera

Mgunda waendelee kumwita manyonyo na timu yake manyonyo fc, majina haya ndio yana uhalisia. Kuitana Guardiola ni kudanganyana.
 
Kabisa...
Charles hilalry alikua anawapa majina ya kiswahili, hapa hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…