Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha,unaishije mkuu na hako ka hela,hapo una mkopo Nmb na CRDB.Kiasi cha TZS 146708.38 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 09902 tarehe 22-12-2021. NMB Karibu Yako
Tunako Elekea Uko Mbele Hii Kazi Ni Kuiacha Tu..
Kiasi cha TZS 146708.38 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 09902 tarehe 22-12-2021. NMB Karibu Yako
Tunako Elekea Uko Mbele Hii Kazi Ni Kuiacha Tu..
NMB,CRDB na FINCA..Na Uwezi amini Nakula Vizuri,Nalala Pazuri,Watoto wanasoma Shule Nzuri,nahudumia Wazazi Na Wana Ukoo Baadhi..Maisha Sio Mshahara Wako Wa Mwezi Tu Kijana.Hahaha,unaishije mkuu na hako ka hela,hapo una mkopo Nmb na CRDB.
Hii ni for real, ama? Huu mshahara ni kwa mwezi mzima, ama kwa sababu kuna makato mengi including makato ya mkopo? Ngazi gani hii ya mshahara?Kiasi cha TZS 233992.24 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 02573 tarehe 22-12-2021. NMB Karibu Yako!
Mmmh hii hela una mikopo mingi sana eehKiasi cha TZS 146708.38 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 09902 tarehe 22-12-2021. NMB Karibu Yako
Tunako Elekea Uko Mbele Hii Kazi Ni Kuiacha Tu..
KwaniniHii kada ya uticha sio
Kwanini mpokee kidogo au mna mikopo sehem tatuHauko peke yako mkuu unaepokea pesa kidogo.! Tujipe moyo labda mambo yatabadilika siku moja huko mbele.!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila ww jamaa ww AsanteWakati wife kapata mshahara toka asubuhi wewe ulikuwa wapi na umejuaje?
Yaani una control hadi mshahara wake!!! Kweli una bamiza vya kutosha mbunye yake!!
Yaani yeye yupo kazini lakini wewe umejua kuwa mshahara wa wife wako umeingia akununulie shati la krismas
Inawezekanaje ukakopa sehem 3 mkuu au salary yako ni laki8NMB,CRDB na FINCA..Na Uwezi amini Nakula Vizuri,Nalala Pazuri,Watoto wanasoma Shule Nzuri,nahudumia Wazazi Na Wana Ukoo Baadhi..Maisha Sio Mshahara Wako Wa Mwezi Tu Kijana.
Kigogo? basi Kuna watu mnapokea mishahara midogo Sana aisee, hiyo hela anapokea kibarua tu baada ya makato kwenye ujenzi wa bwawa la umeme la rufijiWewe ni kigogo
Ndiyo inawezekana chakufanya ongea na muhasibu hapo kazini kwenuNdugu zangu, mimi ni mtumishi wa umma, kwasasa mshahara wangu unaingia kupitia benki ya NMB. Hivi inawezekana kubadilisha mshahara ukawa unaingia NBC au CRDB badala ya NMB?
Kwa anaejua aniambie manake kuna upumbavu NMB wananifanyia kwenye mshahara wangu.
Umenikumbusha sana mkuuu,yaan hata ukitia 5000 mfukoni ikifika jioni lazima uitoe upige hesabuNaona watu mnatamba na salary tu sisi misheni town mwisho wa mwezi ni kila siku jioni unajua umepata au umetoka kapa.
Kwa hiyo hako kasungura ndiyo mpaka January mwishoni tena mkuu au una akiba nyingine?Kiasi cha TZS 1232667.24 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 02913 tarehe 22-12-2021. NMB Karibu Yako!
Sent using Jamii Forums mobile app